Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kikos Cha paund 250m

😂😂😂😂😂😂😂
IMG_20220831_163545.jpg
 
TT kama ana falsafa ya mpira abadilishe kwa sababu hii anayotumia IS NOT WORKING
Mendy awe anapumzishwa ili apate kufikiri na kutafakari. Goli la Westham ita was a stupid defending by Mendy
Goli la pili lililokataliwa ita was a stupid backward pass ya James, japo simhukumu ila kwa mazingira yale ita was a bad judgement of him
 
Alicholeta Chilwell ni dynamic uwanjani, kuwa kushoto na katikati wakati wa kushambulia kitu ambacho cucurella hafanyi. Naona form ile kabla hajaumia imeanza kurudi
 
Alicholeta Chilwell ni dynamic uwanjani, kuwa kushoto na katikati wakati wa kushambulia kitu ambacho cucurella hafanyi. Naona form ile kabla hajaumia imeanza kurudi
shindeni basi mkuu nimewapa kwenye mkeka ujue.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom