Milner kutokuwa na msaada ndio tiketi na nyie kumbeba huyo Babu?Ronaldo na Milner nani mwenye msaada kwenye timu
Tumepoteza mechi mbili tu tena sio mfululizo, mara nyingi huko nyuma kocha anatimuliwa kwa kukosa mechi nyingi mfululizo.Hakuna wakati tumeanza league hovyo kama wakati huu ,na Roman angekuwepo mwanzo mbaya ni kufukuza kocha ,Chelsea ya Roman haijawai kukubali ujinga
ana uwezo wa kufunga goli 20+ kwa msimu, kinachohitajika ni hichoMilner kutokuwa na msaada ndio tiketi na nyie kumbeba huyo Babu?
TT ana matatizo sana!Billy Gilmour kaondoka baada ya kukutana na TT
Sasa anakuwa mchezaji rasmi wa Brighton on parmanent deal
Hawa Brighton wametuzoea
Issue nzimq ya malipo jins Dynamo watakavyoyapokewa + vikwazo alivyowekewa Urusikwann?
Nadhan umesahau msimu ule wa Mourinho, 2015/16Hakuna wakati tumeanza league hovyo kama wakati huu ,na Roman angekuwepo mwanzo mbaya ni kufukuza kocha ,Chelsea ya Roman haijawai kukubali ujinga
Wakati wa Lampard alikuwa nacheza vizuri na kuna mechi kama mbili alishakuwa MOTMTT ana matatizo sana!
Ngoja tuone...!
Hata hivyo dili lake ni la mkopoDenis Zacharia now upepo umehamia huku baada ya deal la Edson Alvarez n sangare kushindikana,
Zacharia alikuwa mzuri sana shida yake ni majeruhi ya mara kwa mara.
Nawasiwasi isijekuwa saul 2.0
Tayari hukosasa tuko kwa Denis Zakaria, mazungumzo ni moto
The FA is not blocking the possible transfer of Dynamo midfielder Arsen Zakharyan to #Chelsea. Negotiations remain ongoing, decisive round of talks will take place today.
[via sportexpress]
#DeadlineDay | @Chelsea_247_news
Bado Edson Alvarez?
Tatizo sio FA, tatizo ni namna ya malipo, makubaliano yote yameshafikiwa na timu mbili lakini kutokana na vikwazo vilivyowekewa benki za Urusi, lazima Dinamo walipwe kupitia benki za kigeni na sio zile za UrusiHuyo dogo endapo tutampata itakuwa poa sana, dogo yuko njema sana.
Nilisema hili huu usajiri asipotumia vizuri itakuwa ndo tiketi ya yeye kuondoka hakuna tajiri atayekubali awekeze halafu timu ifanye vibayaWakati wa Lampard alikuwa nacheza vizuri na kuna mechi kama mbili alishakuwa MOTM
Amekuja TT hapatani naye kabisa, nasikia Todd Boehly alitaka kukataa uuzwaji wake lakini TT akakubali. Billy kalazimisha kutoka kwa sababu damu yake na TT haziendani kabisa na hii ilionekana tangu preseason kule USA
TT ni ready made coach, anaweza kuwanunua wachezaji waliopikwa kwingine hata kama hawajaiva vizuri na kuwaacha wacheza waliopikwa vizuri na academy ya Chelsea pengine hata na kuwazidi wale wa nje
Uzuri mmoja huuu usajili uliofanyika wa pesa nyingi ndio utakaomuondoa darajani asipofanya vizuri