Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,385
Kocha wetu anatufelisha sana ingawa Tumepata Tajiri Sio mbahili kamsajili chikumeka mechi ya nne hii kaa benchi wakati unatatizo la midfielder sasa alimsajiri wa nini? Jorginho hakuna chochote anachofanya na unaona kabisa kwanini unamn'gan'gania? Wakati una Gilmour. James, Tammy abraham, Tomori na Mount walipata nafasi kwasababu tulifungiwa kusajili nawakaonesha kitu lakini Huyu kocha wetu unaona kabisa seniors wanazingua kwanini usione hii ndio nafasi yakuwapa madogo ? Mendy kadrop sana na una Kepa kwanini usimpuzishe Mendy angalau ajifunze?
Jambo lingine inalonikera kuliko maelezo ni kumn'gan'gania takatakata Kai wakati ana natural striker mzuri tu Broja angalia performance alionesha Ziyech japo hakucheza mechi zote 3 za awali kwa style hii utasema Ziyech mbaya? au apewi nafasi?
By the way Sio kwamba tuna kikosi kibovu bali TT anachangia kwa kiasi kikubwa tuonekane ni ovyo
Tunawasubiri mjipitishe kwetu na kanga moja



