Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tuchel: "Soft, soft, soft defending. There is no need to give shots away. Just toughen up as a team and show a different mentality, it seems very easy to beat us and I don’t like it”
Tuchel : “It’s too easy to bully us
 
Kwanza kabisa hawa matajiri kama wana mpango wa kumuongezea mkataba TT waache kabisa maana anakotupeleka ni kubaya

Ukweli ni kuwa TT hana mbinu za kueleweka kiufupi ameishiwa kabisa timu inacheza kama ipo chandimu kwa mda aliokaa unatosha hawezi kutupeleka kokote kwa aina hii ya mpira

Wale mliokuwa mnatetea TT mje sasa na sababu zinazoeleweka maana mnajionea wenyewe madudu tangu pre season hali yetu ilikuwa mbaya
 
Kocha wetu anatufelisha sana ingawa Tumepata Tajiri Sio mbahili kamsajili chikumeka mechi ya nne hii kaa benchi wakati unatatizo la midfielder sasa alimsajiri wa nini? Jorginho hakuna chochote anachofanya na unaona kabisa kwanini unamn'gan'gania? Wakati una Gilmour. James, Tammy abraham, Tomori na Mount walipata nafasi kwasababu tulifungiwa kusajili nawakaonesha kitu lakini Huyu kocha wetu unaona kabisa seniors wanazingua kwanini usione hii ndio nafasi yakuwapa madogo ? Mendy kadrop sana na una Kepa kwanini usimpuzishe Mendy angalau ajifunze?

Jambo lingine inalonikera kuliko maelezo ni kumn'gan'gania takatakata Kai wakati ana natural striker mzuri tu Broja angalia performance alionesha Ziyech japo hakucheza mechi zote 3 za awali kwa style hii utasema Ziyech mbaya? au apewi nafasi?

By the way Sio kwamba tuna kikosi kibovu bali TT anachangia kwa kiasi kikubwa tuonekane ni ovyo
 
Mendy now form yake imeshuka sana, goal la 1 la soton, angeweza toa ule mpira,


Kuna wachezaj wakikaa hata bench kwa mda akili zitawakaa sawa(mendy,havertz,mount)
Msimu uliopita nilimsema sana huyo jaluo watu Waka ishambulia kweli kweli. Mendy naye takataka, Hana consistency Tena Leo supa kesho hovyo. Time will tell
 
Kwanza kabisa hawa matajiri kama wana mpango wa kumuongezea mkataba TT waache kabisa maana anakotupeleka ni kubaya

Ukweli ni kuwa TT hana mbinu za kueleweka kiufupi ameishiwa kabisa timu inacheza kama ipo chandimu kwa mda aliokaa unatosha hawezi kutupeleka kokote kwa aina hii ya mpira

Wale mliokuwa mnatetea TT mje sasa na sababu zinazoeleweka maana mnajionea wenyewe madudu tangu pre season hali yetu ilikuwa mbaya
Huyo takataka akiwepo Hadi December naacha kuangalia mechi za Chelsea. It will be a wastage of time
 
TAYARI HUKO

Screenshot_20220831-015713.jpg
 
Tuchel: "Soft, soft, soft defending. There is no need to give shots away. Just toughen up as a team and show a different mentality, it seems very easy to beat us and I don’t like it”
Tuchel : “It’s too easy to bully us
Nafikiri angeendelea na plan ya kuunda timu inayoogopwa duniani kote
 
Toka mwanza TT anakuja Chelsea nikasema hapo hakuna kitu anashinda kwa bahati ila hana mbinu pale vibe ya wachezaji ndio inambeba ila kocha ni mavi matupu nakuambia Chelsea hatoweza kuingia hata top 10 kma huyu mviziaji atabaki lazima tucheze 15 namba
 
Since wayback nilikuq nqsema huyu kocha hana akili zaidi ya kuweka mabeki 3 nyuma kuna kiazi kimoja kikawa kinanibishia. Kinaleta takwimu na madrama mengine.

Kuna watu hua hawaangalii mpira wanasubiri wachambuzi waongee ndiyo waje kusema. Matokeo yake wakaamini kweli tuchel atatengeneza timu ya kuogopwa.

Asipobadilika atavumiliwa labda mpaka krismas. Olashoga na lembua nawasalimia.
 
Kwanza kukaaa na wachezaji hajui kuinua viwango vya wachezaji hawezi mount jemsi Tammy ni kazi wa super Frank yy hana mchezaji yyote alie mpandisha tunasema achana na kalavati lile mpe nafans Broja hataki umetoa lukaku Warner ssa anafanya nni mie sitoangalia Chelsea mpka huyu jinga jinga lifukuzwe
 
Kocha wetu anatufelisha sana ingawa Tumepata Tajiri Sio mbahili kamsajili chikumeka mechi ya nne hii kaa benchi wakati unatatizo la midfielder sasa alimsajiri wa nini? Jorginho hakuna chochote anachofanya na unaona kabisa kwanini unamn'gan'gania? Wakati una Gilmour. James, Tammy abraham, Tomori na Mount walipata nafasi kwasababu tulifungiwa kusajili nawakaonesha kitu lakini Huyu kocha wetu unaona kabisa seniors wanazingua kwanini usione hii ndio nafasi yakuwapa madogo ? Mendy kadrop sana na una Kepa kwanini usimpuzishe Mendy angalau ajifunze?

Jambo lingine inalonikera kuliko maelezo ni kumn'gan'gania takatakata Kai wakati ana natural striker mzuri tu Broja angalia performance alionesha Ziyech japo hakucheza mechi zote 3 za awali kwa style hii utasema Ziyech mbaya? au apewi nafasi?

By the way Sio kwamba tuna kikosi kibovu bali TT anachangia kwa kiasi kikubwa tuonekane ni ovyo
Tutasema yote ila Tatizo lipo kwa Takataka TT YULE MDIO MJINGA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom