Tunayo shida mbele halafu huyu fala TT anaziba matako yake tu kwa mabeki. Waondoke na Havertz wake.
Vipi huko nani kaliwaUtaliwa kimasikhara wewe na Soton
Pilau masala is coming to Chelsea for mil 97 plus ads and onsNa bado siku moja dirisha lifungwe.. labda msajili viungo vya pilau😆
Huwa nasema hii timu haiwezi kaa na kocha kwa zaidi ya misimu 2 sasa hivi wachezaji wanacheza bora liende mpaka apatikane kocha mwingine ndio utaona morali inarudi tenaShida kubwa ya Chelsea ni viungo hata akiwemo Kante na Kova bado tunahitaji kusajili viungo angalau wawili

form yake imeshuka sana, goal la 1 la soton, angeweza toa ule mpira,Issue ya mabeki nadhan unasahau kuwa kuna 2cb wameondoka tunareplace waliondoka,Ukijumlisha umri wa mabeki wazee wa Chelsea unapata miaka 100
Hii timu tuliipiga 4 preseason mkasema tunaionea
Mech 1 tu mlicheza vzr dhid ya Spurs ,na sababu Spurs wanakaa nyuma wakuvizia kaunta
Ila Everton, Leeds hata Leicester wamewabishia vzr tu
Endeleeni kujaza mabeki na wazee kina Auba
Yule Fofana mwambie Gab Martine anamsubiri Tena