Mabeki ni coz wapo waliondoka, wameondoka 2cb huo lazima uwareplace haohii TT aisome
Mbinu na mifumo ya TT kule mbele ndio mibovu na bado anatetewa
Yeye anaweka msisitizo tu kwenye mabeki ndio maana hata katikati haoni kama kuna tatizo. Karidhika na akina Jorginho na RLC wakati hao ndio walitakiwa kuwalinda mabeki
Wakati ligi inaanza mliyaona madhaifu ya Man Utd tu, mdogomdogo mtajifunza kukabiriana na uhalisia.Wachezaji karibia wote utadhani hawafanyi mazoezi wametoka guesthouse kupunya
Yaani tunakoswakoswa Kila sekunde
.Kwahiyo na wewe kabisa unaisubiri Arsenal kupotea.. utapotea wewe kwanza!Wakati ligi inaanza mliyaona madhaifu ya Man Utd tu, mdogomdogo mtajifunza kukabiriana na uhalisia.
Bado Arsenal.