Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea haina mfumo mzuri wa kumlisha no tisa hata haaland aligoma kuja chelsea kwa sababu alijua chelsea haijui kutumia namba tisa.

Lukaku afanye vizuri.
werner ni mzuri sana ila mtu unamuweka pembeni.
broja nae ataondoka.

hata aubameyong tukizubaaa atafeli na ile tisa


kuna kipindi lukaku yupo site ila hawampi mipira wa kupenyeza.

ukiwa unatizama goli anafunga haaland pale city,dortmumd, ukitizama lewandowski utajua kbsa chelsea hatuna mfuml mzuri wa kumlisha tisa au kumtumia toka drogba na costa waondoke.
 
Kuna mechi tukifungwa hata siumii ila hii ya Soton inaumiza sana
 
Pigaaa hao kengee
JamiiForums1426826092.jpg


Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
hii TT aisome
Mbinu na mifumo ya TT kule mbele ndio mibovu na bado anatetewa
Yeye anaweka msisitizo tu kwenye mabeki ndio maana hata katikati haoni kama kuna tatizo. Karidhika na akina Jorginho na RLC wakati hao ndio walitakiwa kuwalinda mabeki
Mabeki ni coz wapo waliondoka, wameondoka 2cb huo lazima uwareplace hao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom