Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa 433 hata Tukuyu Star watatufunga. Mabeki wako vilnerable
 
Madhara ya Sterling kucheza kulia hawezi kutumia mguu wa kushoto. Sijui TT ana mpango Gani kumchezesha Ziyech kushoto na Sterling kulia?
Mfano wote wamekosa magoli ya wazi Kwa sababu ya kutumia wrong foot
Mkuu mbona ziyech anacheza kulia au macho yangu
 
TT abadili formation

Sterling acheze upande wake wa kulia na Ziyech kushoto

Turudi kwenye 343


Sterling -------- Broja ------- Ziyech

Cucurela---Kovacic --- Jorginho --- RLC

-- Koulibally --- Silva -- Azpilicueta----

---------------- Mendy ------------------
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom