Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,307
- 32,791
Kamon wanangu wa soton
Peleka moto mpka cheltako wakimbie ligi






Peleka moto mpka cheltako wakimbie ligi











Alianza kushoto hasa Sterling alikuwa anacheza kulia ila kumbe nimegundua kawekwa false no9 na Havertz kushotoMkuu mbona ziyech anacheza kulia au macho yangu
Wazee wa kamubaki na red card Leo mtatueleza vizuri kenge ninyi
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app



hata hivyo leo wamejitahidi sana, mpaka HT hakuna mchezaji aliekula umeme. Kamon wanangu wa soton
Peleka moto mpka cheltako wakimbie ligi
![]()




kenge zinakimbia tu hovyohovyo uwanjani kama zile nguruwe zilizotupiwa mapepo kipindi cha Yesu.hii TT aisomeKijana wetu huyo ni HT tu kashapiga Hattrick hukoView attachment 2340437
hii TT aisome
Mbinu na mifumo ya TT kule mbele ndio mibovu na bado anatetewa
Yeye anaweka msisitizo tu kwenye mabeki ndio maana hata katikati haoni kama kuna tatizo. Karidhika na akina Jorginho na RLC wakati hao ndio walitakiwa kuwalinda mabeki



Hivi mna uhakika huyu babu kweli ni kocha ?Leo zamu ya Kai kula umemehata hivyo leo wamejitahidi sana, mpaka HT hakuna mchezaji aliekula umeme.
Ila kwa jinsi walivyo panic sidhani kama kipindi cha pili watamaliza salama bila mchezaji yoyote kupigwa shoti.
Raha sana kuona Kenge zikiteseka.


Hichi ni kikundi Cha wahuniKijana wetu huyo ni HT tu kashapiga Hattrick hukoView attachment 2340437






Me naona kwa werner, ligi ilimkataa tu sio kwamba chance alikuwa hapat. Chance za kuscore alikuwa anapata ni vile alikuwa hayuko clinicalhii TT aisome
Mbinu na mifumo ya TT kule mbele ndio mibovu na bado anatetewa
Yeye anaweka msisitizo tu kwenye mabeki ndio maana hata katikati haoni kama kuna tatizo. Karidhika na akina Jorginho na RLC wakati hao ndio walitakiwa kuwalinda mabeki