Tushindwe wenyewe kitonga hicho...Group E
Ac Milan
Chelsea
FC Salzburg
Dynamo Zagreb
#UCLdraw
Ndio kwanza wanataka kumuongezea mkataba, kitu cha kujua nikuwa utawala umebadilika, kama angekuwa Roman tuchel angeondoka due to sintofaham za wachezaj lukaku,pulisic,ziyech n werner.Huyo hatakuwepo December2022
Form yetu ya kwenye ligi ndio itakayotupa mwelekeo Salzburg,Ac Milan ni games zilizokaa kimtego mtego, Ila kwa Tim bora Sio game ngumuTushindwe wenyewe kitonga hicho...
Tuchel asipotuvusha hapo abebe mabegi yake asepe.





Ukija uwe unakitambulisha wewe ni timu gani?Cheltako makundi ya uefa mmeyaona sasa na huyo kipa wenu baada ya kudaka mipira anafuga tako tu bora mjitoe mapema chelyatima fc![]()
We jamaa mbona unashobo sana na wanaume?Cheltako makundi ya uefa mmeyaona sasa na huyo kipa wenu baada ya kudaka mipira anafuga tako tu bora mjitoe mapema chelyatima fc![]()
Boya uyo piga chini kumbe arsenyokoUkija uwe unakitambulisha wewe ni timu gani?
Kama ni nyumbu au Arsenyeto unapata wapi Audacity ya kuingia humu wakati kitimu chako cha mchongo hakipo hata UCL?
Kwendraaaa Uropa huko ukakatike viuno.
Hayupo kwenye soka mmiliki atakayemvumilia kocha anayeipeleka timu pabaya na hasa kama timu hiyo ni Chelsea iliyozoea kubeba makombe na inayotumia pesa nyingi kuunda timu na pia kama kocha aliruhusiwa kuwachagua wachezaji anaowataka . Uvumilivu utategemea pia Chelsea itakuwa inafanyeje kwenye ligi na iko nafasi ya ngapi wakati wa Desemba 2022!Ndio kwanza wanataka kumuongezea mkataba, kitu cha kujua nikuwa utawala umebadilika, kama angekuwa Roman tuchel angeondoka due to sintofaham za wachezaj lukaku,pulisic,ziyech n werner.
Ila kwa sasa kuna uwezekano Tuchel kuendelea kuwepo.
Lakini kwanini tunatapa tapa, TT ajitahudi kua flexible na mfumo wake wauchezeshaji kwanini anaogopa kutafuta FW na cmf kwasbb ajiamini na system yake.
Toka huko katimu Kako ka Arsenal kanashiriki mashindano ganiCheltako makundi ya uefa mmeyaona sasa na huyo kipa wenu baada ya kudaka mipira anafuga tako tu bora mjitoe mapema chelyatima fc![]()
3 atb inacover mapungufu ya wachezaj wengi ndio sababu tuchel inabidi atumie mpk hapo atakapohis kapata wachezaj watakaomfanya abadilishe mfumoLakini kwanini tunatapa tapa, TT ajitahudi kua flexible na mfumo wake wauchezeshaji kwanini anaogopa kutafuta FW na cmf kwasbb ajiamini na system yake.