lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,482
Chelsea wanamtaka Arsen Norayrovich Zakharyan kwa Eur 15m
Miaka 19 na anachezea Dynamo ya Moscow kwenye nafasi ya kiungo
Mbona Chelsea wanawasaka viungo tu wameona nini kule mbele
Chelsea wakimpata huyu Arsen Zakharyan wamepata kitu chema tena wa direct first team
Miaka 19 na anachezea Dynamo ya Moscow kwenye nafasi ya kiungo
Mbona Chelsea wanawasaka viungo tu wameona nini kule mbele
Chelsea wakimpata huyu Arsen Zakharyan wamepata kitu chema tena wa direct first team
