Green Koryo
JF-Expert Member
- Jul 6, 2022
- 616
- 1,143
Timu pendwa toka Africa timu iliyoleta mapinduzi England na Dunian kote hakika Chelsea ni timu bora![]()
Tugether in one
Timu pendwa toka Africa timu iliyoleta mapinduzi England na Dunian kote hakika Chelsea ni timu bora![]()
Labda timu penda na watu wa milembeTimu pendwa toka Africa timu iliyoleta mapinduzi England na Dunian kote hakika Chelsea ni timu bora![]()
Mbona umepanic ulitaka aseme timu yako?Labda timu penda na watu wa milembe
DOF hii ina maana gani?Deal la Auba ni kwa ajili ya short term plan, litatupa muda wa kutafuta striker kwa utulivu na bila papara, Na kazi hiyo itakuwa chini ya DOF,
Director of FootballDOF hii ina maana gani?
@Carrasco putin hakika wewe huna rafiki wa kudumu wa adui wa kudumuTimu pendwa toka Africa timu iliyoleta mapinduzi England na Dunian kote hakika Chelsea ni timu bora![]()




Flano unataka unigombanishe😂😂
Mkuu wewe ni mshabiki wa timu ipi?Flano unataka unigombanishe😂😂
Hiyo haiifanyi man city kuwa elite club.Labda timu penda na watu wa milembe
Tia Connor hapo Kwa cheekLeeds United vs THE BLUES, twende na mfumo wa ulinzi shirikishi 343.
------ STERLING -- KAI --- MOUNT ------
CUCU ----JOGNHO--- CHEEK --JAMES
-----KOULIBALY - THIAGO ---- AZPI -----
Haiwezi kutokea wiki hii. Kocha siyo mjingaTia Connor hapo Kwa cheek
Hivi Kounde si mlisema ni mfupi? Atakuwa ameongezeka kimo come Sept 1?Kuna uwezekano tukamsajili Kounde bure tarehe 1 September 2022
Hadi sasa Barcelona wameshindwa kumsajili Kounde na kwenye mkataba wao iliwekwa kipengele kinachomruhusu Kounde kuondoka bure kama hatakuwa amesajiliwa hadi tarehe 31 Agosti 2022
Swali je tusubiri bila CB hadi tarehe 1 September?




So this is a morning mockFanyeni chaaaap.
View attachment 2329000