Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,787
- 2,233
Leta mzungu kepa
Wachezaji wote wa hii timu ni takataka
Sasa mi nisiposhabikia Arsenal kwa dunia hii ya sasa nitashabikia timu gani mkuu?Toka sasa mnapokuja kwenye jukwaa la Arsenal muwe na adabu
Sasa mi nisiposhabikia Arsenal kwa dunia hii ya sasa nitashabikia timu gani mkuu?
Mkuu Chelsea Viungo wake tegemez wagonjwa na wakirudi hawawez Tena kucheza mech 5 mfululizo, kante na kova wametumika Sana ,Ni injury prone , so kiungo Chao unga unga mwanaIt frustrates, with heavy investment made by the owner, is this what the players are paying back?
Kuna mwezio huko juu kafurahi kuanza kwake aiseeHuyu dogo Gallagher ovyo kabisa. Yani Kante na Mateo kukosekana sijui kama tutakuwa salama
Huwezi kumuona nyakati Kama hizi ypo kwenye jamii photoWapi OllaChuga Oc mnakufa nyingi huku.



Jogonho ni kiungo lasa epl madamu calm down tunachomoa mbonaJognho
Cheek
Kama kawaida yenu endeleeni kusifikia haya matakataka eti yanatuliza timu.
Unamanisha kufungwa sio matokeo??Nyie kenge msipopata matokeo nisiwaone kule jukwaa la wanaume GUNNER