Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Rahim Sterling anahitaji chance 10 afunge goli 1

Waendelee hivo hivo Chelsea kukosa CF ,naombea wamkose Auba,

Wasajiri kina de jong, fofana , bila CF watatafuta mchawi na hawatampata

Na mkimpata Auba naombea aflop ,ubaya ubaya tu

Sajirini kwa fujo ,mtatustua mkisajiri labda Ivan Toney au Auba
 
WAzee tunaangamia leo mbona hawa leeds wanataka kutuaibisha leo😄😁 tushapgwa 2-0
 
It frustrates, with heavy investment made by the owner, is this what the players are paying back?
Mkuu Chelsea Viungo wake tegemez wagonjwa na wakirudi hawawez Tena kucheza mech 5 mfululizo, kante na kova wametumika Sana ,Ni injury prone , so kiungo Chao unga unga mwana

Gallagher alikuwa anatumika Kama no.10 palace akawaka ,hapo Chelsea wanamchezesha out of position.

Pia Rahim Sterling anahitaji chance 10 apate goli 1 , dk za Awali kapata chance ya goli kakosa , hiyo chance Auba Ni kamba.

So Hawa bila CF watapoteana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom