Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sisi kukandwa tu kidogo kelele kibao wakati nanyie mlikandwa 4 zile zile tena darajani penu.

Nyie sisi kukandwa na Brentford bora mkae kimya tu nyie darajani tena timu ikiwa sawa kabisa.

Sisi kocha ndo anaanza kazi lakini venye mnakelele kama wamama wa vikoba vile.View attachment 2325552
kukandwa kama kukandwa kweli nimeamini mzinga wa nyuki haukumbatiwi.
Hawa dondola wanaweza kuweka record ya kuzikanda timu nyingi kubwa za Epl.
Haya matakataka hayana timu bali yana kocha basha.
Conte amelalamikia Tuchel kumtia kidole kwenye kiganja chake ndio maana akataka kumtia ngumi ya pua.
Dressing room sijui kama wachezaji wa Chelshit wananusurika na huyu mende wa magomeni mapipa.
Conte-Tuchel-Fight.jpg
 
Ila ukiangalia Youtube anacheza attacking zaidi kuliko DM, mimi ndivyo nilivyo perceive
Huyo dogo uchezaji wake kama Ramirez unakuta kachezeshwa chini ila haimzuii kwenda kushambulia pale panapohitajika ndio maana wewe unaona kama vile ni attacking
 
Hao takataka akina Cheek na ghalagher waonyeshe ubora wao sasa tuone ,Maana Kante na Kova ni majeruhi na hawatakuwepo Kwa wiki 4 na kuendelea ,waonyeshe sasa kama wanadeserve kweli hizo number ,wakishindwa ni kusigua benchi na mwisho WA msimu watupishe ,sio kutunza matakataka hapa ,hata huyo dogo muIgbo Chukuwemeka wampe nafasi tumuone
 
Gallagher huyu huyu anayepanda juu kushambulia na kusahau kurudi kukaba. Huyu huyu anayekata pumzi na kupotea uwanjani.

Cheek huyu huyu anayepoteza muda kwa kudrible mpira na akiupoteza anabaki ndugu mchezaji mtazamaji.

Nani wa kumbeba Jognho mgongoni.

Pale katikati patakuwa lango la walanguzi kwa kipindi chote Kante na Kovacic watakuwa nje.
Kuhusu Loftus Cheek sina uhakika kama ulitazama mechi vs Spurs au ile dhidi ya Madrid nusu fainali
 
lembu

Kuna madogo naona mnawasajiri ,Kuna huyu kutoka intermilan ,mnawachukua kwa Bei kubwa

Hata chukwuemeka mmemchukua Bei kubwa ,

Kuna Nini nyuma ya hizi sajiri ikiwa hamuwapi nafasi first eleven?

Vipi huyo dogo Ni mzuri?
Wamarekani washaona soko lilivyocharuka. So hao wachezaji ni for the future misimu 2 au zaidi ijayo. Wataofeli watapelewa kwa mkopo au kupigwa bei kwa faida
 
Wamarekani washaona soko lilivyocharuka. So hao wachezaji ni for the future misimu 2 au zaidi ijayo. Wataofeli watapelewa kwa mkopo au kupigwa bei kwa faida
Ndio maana hao madogo wamewasainishwa mikataba ya miaka sita sita na option ya mwaka mmoja zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom