Huyo mchezaji anacheza nafasi gani maana me nilimuona kama no 10 hivi?Chelsea in talks with Everton over Antony Gordon £40M, The Toffee wants at least £50M
Ni wide winger, kwa hiyo 10 ni sawa na ana mika 21 tuHuyo mchezaji anacheza nafasi gani maana me nilimuona kama no 10 hivi?
50M kwa Gordon, hapa hapana,, kuna wachezaj wazur wanaostahil hiyo hela ila si GordonChelsea in talks with Everton over Antony Gordon £40M, The Toffees wants at least £50M
Tulishatoa paundi mil 40 Everton wakazikataa50M kwa Gordon, hapa hapana,, kuna wachezaj wazur wanaostahil hiyo hela ila si Gordon
Bettee hiyo hela uiweke kwa CB,Mid n Forward
Antony Gordon is a forward, anacheza Winger na tumemuona akicheza, anajuhudi sio kama hawa w a kwetu wa kuremba remab wasipopewa muda wanatishia kuondoka50M kwa Gordon, hapa hapana,, kuna wachezaj wazur wanaostahil hiyo hela ila si Gordon
Bettee hiyo hela uiweke kwa CB,Mid n Forward
Chelsea willing to pay £50m for Everton forward, Anthony Gordon after having £40m transfer bid rejected by Everton50M kwa Gordon, hapa hapana,, kuna wachezaj wazur wanaostahil hiyo hela ila si Gordon
Bettee hiyo hela uiweke kwa CB,Mid n Forward
Kulikuwa na haja hiyo ila matarajio ya mnunuzi ndio hayakutimia. They had that value for money during the time.
- Hakukuwa na haja ya kumnunua Romelu Lukaku kwa £97.7m (kutoka Inter, 2021)
- Hakukuwa na haja ya kumnunua Kai Havertz kwa £72m (kutoka Leverkusen, 2020)
- Hakukuwa na haja ya kumnunua Kepa Arrizabalaga kwa £71m (kutoka Athletic Bilbao, 2018)
- Hakukuwa na haja ya kumnunua Alvaro Morata kwa £60m (kutoka Real Madrid, 2017)
- Hakukuwa na haja ya kumnunua Christian Pulisic kwa £57m (kutoka Dortmund, 2019)
Umemjibu vizuri Sana kepa tulazimika kutoa hiyo hela kea sababu Courtois alisema kwenye wakati tunamwitaji na ligi ndio ilikuwa inakaribia kuanza kutokana na hayo mazingira tukajikuta tunatoa hiyo helaKulikuwa na haja hiyo ila matarajio ya mnunuzi ndio hayakutimia. They had that value for money during the time.
Hakukuwa na hiyo valueKulikuwa na haja hiyo ila matarajio ya mnunuzi ndio hayakutimia. They had that value for money during the time.
Hakukuwa na hiyo value, kukurupuka tu, Aidha scouting team hawakufanya kazi yao vizuri au hawakusikilizwa, Option zilikuwa nyingi sana ila wakaenda kwa kipa mfupi kama Kepa. Mbona safari hii Kounde kaachwa kwa sababu ya ufupiUmemjibu vizuri Sana kepa tulazimika kutoa hiyo hela kea sababu Courtois alisema kwenye wakati tunamwitaji na ligi ndio ilikuwa inakaribia kuanza kutokana na hayo mazingira tukajikuta tunatoa hiyo hela
Sisi kaugonjwa ketu hua kanaponea kwenu, msimu ulioisha tuliboronga ila baada ya kucheza na kenge za darajani timu yetu ikaanza kuamka toka usingizini.hivi tunacheza lini na nyinyi kenge?
Alichofanya Tuchel sio uanaume, kamletea umende mwenzie mpaka Conte akaona hii sasa dharau liwalo na liwe.
Madai ya ufupi wa Kounde ni maneno tu ya mkosaji.Hakukuwa na hiyo value, kukurupuka tu, Aidha scouting team hawakufanya kazi yao vizuri au hawakusikilizwa, Option zilikuwa nyingi sana ila wakaenda kwa kipa mfupi kama Kepa. Mbona safari hii Kounde kaachwa kwa sababu ya ufupi
Hakukuwa na haja kama ambavyo wanataka kufanya kwa Fofana, overpriced players ni kuwaacha kama options zipo
Kwani inatuhusu nini kushabikia basi mkuu, yeyote tunayoongea hapa ni ukerekwa wa kishabiki tuValue value value inatuhusu nini wazee?
Kwani kuna yoyote hapa anachangia pesa ya kusajili wachezaji? Au alishalipishwa hasara aliyopata tajiri sokoni?
Iache kuwauma wenye biashara Roman Abramovich na Toddy Boehly ituume sisi aisee?
Binafsi hata tajiri TODDY akitoa €200M kwa fofana fresh tuu, yeye ameona inamlipa kiuwekezaji ndio maana anatoa hiyo.
Mimi kama shabiki kazi yangu mbili tuu kushangilia na kukosoa wachezaji uwanjani.