Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wewe hata everton alikutoa ulimi nje

Hi Chelsea wanarukaruka Sana pass 100000 , output zero

Yule Rahim tunaweza kushuhudia akamaliza Ligi na goli 1 [emoji23][emoji23]

Sterling anahitaji nafas 20 apate goli 1
Hata we ukija ntakuzaba moja.
 
Ebu kuwa na heshima hiv spurs unaichukuliaje
Nyie hamna forward ,mech mngeimaliza first half

Leo nilitegemea Spurs apaki bas asubiri miujiza ,na kweli imekuwa hivo

Spurs akikutana na timu inayofanya buildup anapaki basi

Everton vs Chelsea ilikuwa mech Ngumu kuliko hii ya spurs vs Chelsea ilikuwa mech nyepes kwa Chelsea

Goli alilokosa kai Lile mngekuwa hata na Auba ile kamba

Spurs hata kwa timu ndogo anapaki bas ,anakuja kuwafunga kwa kaunta
 
League inahitaji wanaume Kama Hawa ,sio lojo lojo kina ETH [emoji23][emoji23][emoji23]
IMG-20220814-WA0105.jpg
 
Kenge zimeshaanza kubleed kunako masikioni, muda sio mrefu zitaanza kusikia vizuri.
OllaChuga Oc timu lenu halina tofauti na Majimaji ya Songea.
Hahaha Sasa wewe takataka Kama timu Hain tofauti na majimaji ya songea ..je wewe na manjestaa yako utakuwa na timu gan apa bongo? Hii manure Hain tofauti na hiz timu za ndondo cup..
 
Zile nafasi za Kai na Sterling, Broja hawezi kukosa zote. Wamuamini.
Wakiendelea kumuingiza dakika hizo 3 za mwisho, atalazimisha kuondoka.
Wakipewa wakakosa mtaanza auzwe auzwe. Mchezaji asiye na experience inabidi apewe kidogo kidogo, akitendea wema muda mdogo aliopewa anongezewa hadi anapewa kabisa
Kocha anapokupa dakika 6 kila dakika moja unavyocheza na mpira au bila mpira anarekodi. uchezaji wako ukiridhisha anaongeza muda au unaanza kabisa. Compusure ya Broja na Galagher sio ya kurudhisha kwa hizo dakika chache wanazopewa. EPL sio Development league au mazoezi ya pale Cobham. Ligi ya wanaume hii ukifanya majaribio ya wachezaji kama preseason unafanyiziwa ile mbaya
TT ameahidi atawapa muda lakini sio kama zawadi, they must fight for it
Wakati Chalobah anpopewa muda alicheza vizuri akawa anapewa zaidi. Pale alipoanza kucheza sarakasi badala ya mpira akazimishwa OUT, yuko wapi sasa hivi. Hizi academy wa chini ya 22 ninyi hamuwajui tu. Hata kiakili bado havijakomaa, unaona Galagher ile penalti alivyopiga dhidi ya Charlortte FC? hata game za pre season Galagher hakucheza kama alivyokuwa anacheza Palace hadi wengine tukaanza kumlinganisha na Mount. Kwa maoni yangu Broja na Galagher bado sana kwenye first squad, watatupotezea muda. Kama wana haraka wasepe, kama wanaipenda timu wafuate utaratibu wa kocha na ushauri wake. KOcha na wasaidizi wake wa ufundi wanawafahamu hao vijana kuliko sisi
 
Tulia ww acha kuassume, una uhakika gani broja angekua ata kwny position ya kupata izi chance za kufunga. Uyo dogo km ana deserve kuanza inabd aonyeshe kwny mechi atakazopewa. Na atacheza mechi nyng tu msimu huu ni mrefu sana
Sawa boss. Siyo issue ya assumptions. Kama uliangalia game vizuri, uliona ni cross ngapi zimepigwa mahali ambapo alipaswa awepo namba 9? Kwanini Broja asiwepo kwenye position yake wakati ni sehemu anayopasa kuwepo? Jana tumepoteza point zile kwa kukosa namba 9, hata kama utabisha na haitaondoa huo ukweli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom