Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nimependa impact walioleta Haaland na Nunez City na Liverpool
Sisi bado tuna muda wa kuiga. Nyuma tumefanya vizuri

Tunahitaji quality mbili tu at minima

Striker au Winger mfungaji mwenye impact na Kiungo mpikaji wa kuwapikia chakula kule mbele
 
Sasa ninyi mlio like hapa ina maana mnapenda matusi sio, hatuwezi pingana kwa hoja bila kukashifiana au kutukanana???. Kila mmoja akipinga jambo na kuachia tusi hili jukwaa litakuwa rafiki
Amna alitukanwa hapa Kama unaandika takataka kwanini usiitwe takataka.? Wewe una support Harvetz kuuzwa?
 
433 atawabeba wawili na nani. Kwenye 433 Jorge atafute kwa kwenda.
Kwani Kante atacheza mwenyewe, si atakuwepo Kova, Mount na wengineo. Kama hao wapo na sio wa kubebwa kwa nini tt asiwapange kwenye 343?
 
Lukaku OUT
Werner OUT
Alonso OUT
Barkley OUT
Jognho......
Pulisic.......
Cheek.......
Sarr..........
Ziyech.......
Keppa.......
Correct list ya kufurmigate
  1. Romelu Lukaku to Inter
  2. Timo Werner to Leipzig
  3. Marcos Alonso to Barca
  4. Ross Barkley on sale hakuna timu inamtaka, hata Everton wamemkataa
  5. Jorginho anakumbatiwa na TT
  6. Christian Pulisic amedai atapambania nafasi
  7. Reuben Loftas Cheek on Swap dela for Fofana
  8. Malang Sarr to Monaco
  9. Hakim Ziyech to Man U or AC Milan
  10. Keppa anabaki, dili la Napoli limefeli, Napoli wanamtaka Keyla Navas
  11. Michy Batshuayi to Everton
  12. Ampadu to Spezia
  13. Babarahma on sale
  14. Billy Gilmour on loan to Everton
  15. Emerson to Lazio
  16. Kenedy on sale
  17. Xavier Mbuyamba on sale
  18. Matt Miazga anarudi MLS Marekani
 
Kwani Kante atacheza mwenyewe, si atakuwepo Kova, Mount na wengineo. Kama hao wapo na sio wa kubebwa kwa nini tt asiwapange kwenye 343?
Huyo Tuchel ni muoga sana sometimes.

Kuna matches tumeshacheza 433 na tuliperform....

Refer match za liver za kwenye ligi msimu uliopita.
 
Kuna watu wanasema kocha apewe wachezaji wanaoendana na mfumo wake, mbona Conte 2017 aliwakuta wacheza wa Mou mbaazi, mamahargwe dagaa na magimbi pamoja akachukua nao ubingwa? Wala hakuja na mchezaji wake?
 
Huyo Tuchel ni muoga sana sometimes.

Kuna matches tumeshacheza 433 na tuliperform....

Refer match za liver za kwenye ligi msimu uliopita.
Hakuna on earth match ambayo TT alipanga 433 na Liverpool. Hata zile za Karabao na FA final zote zilikuwa 343

Tarehe 28 August 2021

1659963170164.png


2 January 2022
1659963291000.png
 
Hakuna on earth match ambayo TT alipanga 343 na Liverpool. Hata zile za Karabao na FA final zote zilikuwa 343

Tarehe 28 August 2021

View attachment 2318043

2 January 2022
View attachment 2318050
Screenshot_2022-08-08-16-05-58-327_com.mobilefootie.wc2010.jpg


Okay huenda nimechanganya formation.

Lakini hii approach iliyotumika kwenye hii match, kwanini tunashindwa kuitumia kwenye match zingine.

Hii match hakukuwa na mambo ya pasi fupifupi.


Hii match pamoja na second leg ya robo final uefa against real madrid, ni match ambazo tulipiga mpira mwingi sana.
 
View attachment 2318073

Okay huenda nimechanganya formation.

Lakini hii approach iliyotumika kwenye hii match, kwanini tunashindwa kuitumia kwenye match zingine.

Hii match hakukuwa na mambo ya pasi fupifupi.


Hii match pamoja na second leg ya robo final uefa against real madrid, ni match ambazo tulipiga mpira mwingi sana.
Approach za TT huwa zinabadilika, wachezaji wanabadilika, position zinabadilika labda ndio style yake
Hadi kuna mechi Cheek alicheza CB, Odoi LWB, Pulisic LWB
 
View attachment 2318073

Okay huenda nimechanganya formation.

Lakini hii approach iliyotumika kwenye hii match, kwanini tunashindwa kuitumia kwenye match zingine.

Hii match hakukuwa na mambo ya pasi fupifupi.


Hii match pamoja na second leg ya robo final uefa against real madrid, ni match ambazo tulipiga mpira mwingi sana.
Wewe unachanganya vitu viwili kuna aina ya uchezaji na kuna mfumo shida yetu sisi sio mfumo ndio unatatizo la hasha tatizo lipo kwenye uchezaji na team inacheza soka zuri pale anapokuwa kovacic na kante pale Kati ila anapocheza jorginho team inakuwa slow
 
Wewe unachanganya vitu viwili kuna aina ya uchezaji na kuna mfumo shida yetu sisi sio mfumo ndio unatatizo la hasha tatizo lipo kwenye uchezaji na team inacheza soka zuri pale anapokuwa kovacic na kante pale Kati ila anapocheza jorginho team inakuwa slow
Pamoja na Kovacic kuwa nzuri, Chelsea wakimpata upgrade ya Kova anayejua ku break lines Chelsea itakuwa moto hata hao akina Havertz watafikisha 10+ goals and 10+ assists each season
Kova ni mzuri kwenye kupeleka mashambulizi mbele ila end results inakuwa hovyo kwa sababu forwards wanajiposition vibaya kwa sasa Sterling ni very clever kwenye kujiposition na kuchomoka. Tutampima Kova kwenye hilo kwa sababu Jorginho kashindwa, Kante bado hajatick
Sterling anapochomoka anatakiwa apelekewe majalo ashindwe mwenyewe na hawezi kushindwa
Naamini akipelekewa 3 moja ni goli
 
Hii rafu waliocheza Barca sasa wanataka kucheza tena rafu kwenye mahesabu na wataishia kuwapa mshahara wa bure hao akina Raphinha na Kounde biula ya kuwasajili kwa ajili ya ligi inayoanza siku nne zijazo

1659966245102.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom