Getang'wan
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 3,076
- 3,418
Akili nyingi huondoa maarifa.Hii rafu waliocheza Barca sasa wanataka kucheza tena rafu kwenye mahesabu na wataishia kuwapa mshahara wa bure hao akina Raphinha na Kounde biula ya kuwasajili kwa ajili ya ligi inayoanza siku nne zijazo
View attachment 2318106