Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

De Jong’s versatility in midfield could be an upgrade to what Jorginho has been producing. The Dutchman is a clever operator of the ball, has a good sense of reading danger and is a more mobile presence in the midfield. If Chelsea and Thomas Tuchel are looking at that position, there are not many better options in European football than the 25-year-old.

Nafasi anazocheza vizuri De Jong
  1. DM
  2. CM
  3. CB
 
Makubwa yaibuka kati ya De Jong na Barcelona

Barcelona wameitishia kambi ya De Jong kwa kuwataarifu kuwa watachukuliwa hatua za kisheria kwa sababu mkataba uliosainiwa 2020 ni batili. Uongozi uliopita kabla ya Laporta pia wako hatiani
Kama vipi De Jong kaambiwa ni vyema aukane huo mkataba na kuurudia ule wa zamani aliousaini 2019 ambao utaishia 2024. Kwenye mkatab mpya De Jong alikubali kupunguza mshahara wake kwenye misimu miwili ya 2020/21 na 2021/22 ya kiasi cha Euro mil 18 ambayo angelipwa katika miaka iliyobaki minne ya mkataba wake
Sio De Jong tu bali mikataba mipya ya jinsi hiyo ila pia wapo akina Gerard Pique, Clement Lenglet na Marc-Andre ter Stegen. Sasa Barcelona mnamo tarehe 15 Julai imempelekea barua De Jong ya kumtishia kufungua kesi ya jinai ya kutaka kujua nini kilitokea wakati wa kuandikishai mkataba na utawala uliopita. Na Barcelona wakamtishia kuwa yeye na agent wake na kambi yake yote wanaweza kutiwa hatiani kwa kile kilichotokea na sasa kumlazimisha mchezaji kukubali kuuzwa au apunguze mshahara wake ili Barcelona waweze kuwasajili Laliga wachezaji walionunuliwa msimu huu.
Watetezi wa De Jong wanadai kuwa hayo ni matisho na unyang'anyi kwani wanataka kuchukua sehemu ya mshahara wake kwa nguvu. Waliosaini mikataba kama hiyo wako jumla wanne lakini anayefuatwa na kutishiwa ni De Joing tu akina Pique, Lenglet na Stegen wameachwa huru.

Baadhi ya wanaomtetea wameionyo Barc elona kuwa huko baadaye Barcelona itakosa nguvu ya kuwavutia wachezaji bora

STEVE JOHNSON
08/08/2022 at 12:50
Laporta and its board are behaving very bad towards De Jong. As mentioned, similar contracts with deferred salary in furture years were signed also by other players. And if the current Board considers them ilegal the major culprit would have been Bertoneau and his board, yet no action against them has been taken!
The De Jong situation has become very bad. Reports say one thing, Laporta another. And even if there is no extortion, there is certainly lots of bulying! And all this stems from Barcas inability and/or refusal to honour the contracts that a previous Barca board signed.
What Laporta does not yet understand is that with these kind of practices, in the future, Barca will loose its power to attract players. His actions are doing great damage to the club!
 
Kiongozi acha kulemba mwandiko kwa kumtetea kocha ni muoga kuattack hilo liko wazi game ya mwisho tuliocheza kwa kushambulia kama nyuki ilikuwa game na juventus na wachezaji walikuwa hawahawa. Kwenye suala la kucrete chances no sign of improvement na tunataka kutoa £80mil kwa beki ilihali viungo wachezeshaji hatuna na wala simuoni akiwaza kuwatafuta. Tunawaweka mabeki underpressure kwa kuto create chances na kutofunga magoli ya kutosha. Inshort kocha nae awe dynamic kwenye game approach yake sio kulaumu wachezaji tu
Sijamtetea kocha,
Gan ya Juve ni kikos ni kile kile na formation ile ile na ndio game bora tuliowah cheza msim uliopota na ndio ikawa mwanzo wa matatizo yetu,
Chilwel injury, kante injury
Je unahis tunaweza cheza msim mzim tukiwategemea koulibaly n Silva tu,

Tangu dirisha linaanza priority ilikuwa ni kureplace nafas ya Rudiger n christeans3n
 
Je tunaviungo na wachezaj wale wale ambao wanaweza tupa hata nusu aliyokuwa anatupa Costa,Hazard,Willian,Matic,Fabregas

Nyuma pako sawa atleast, Luiz+Cahill+Azp
Na wing back hazina shida hizi idara zingine

Je kuanzia mid mpk mbele kuna mtu anaweza toa performance kama za hao hata nusu katika game 10 mfululizo??

Conte alicheza 14 games bila kupoteza, kwa kikos cha sasa unahis kinaweza cheza hata game 10 bila kupoteza??
Context haikuwa hiyo kwenye uchokozi wangu, context ilikuwa kuna madai kuwa Tuchel amekuta wachezaji wa makocha tofauti, Sari, Lampard hadi Conte
Na maelezo hayo yalibase hapo

Mbona Conte aliyakuta matakataka mchanganyiko na akayatumia kubeba kombe? hili swali haliitaji kukurupuka bali kupangilia hoja kwa sababu hata leo wachezaji tulionao sio wabaya kama tunavyoaminishwa. Tukumbuke pia kuwa style na falsafa ya kocha inaweza kuwainua wachezaji hawa na kuwapoteza /kuwaflopisha wachezaji wengine. TT alikuta wachezaji wa zamani na waliosajiliwa na FL lakini aliwainua viwango baadhi mmojawao akiwa ni Rudiger, Chilwell, James na wengine wakashindwa kuinua viwango. Kawatumia wachezaji hao kubeba UCL na kuipandisha timu hadi nafasi ya 3

Ukisema viungo Fabregas na timu nzima ilikuwepo iliposhika namba 10 2015/16
Mimi sitaki kuamini kuwa Willian alikuwa ni exceptional player, yule alikuwa just ordinary na aliwaudhi wengi sana kwa sababu ya mentality yake ya kutotaka kufunga magoli. So labda wa kumtaja hapo ni Fab na Costa tu, Luiz na Carhill walishachoka aliyekuwepo kwenye form ni Azpi tu. Tukubali kuwa style ya Conte inaweza kuwainua wachezaji wengi hata matakataka tofauti na style ya TT inataka wachezaji waliokwisha pikwa kwingineko ndipo waje kufanya vizuri na tena sio wote

So TT hadi aje kubeba ligi, lazima apatiwe wachezaji wa viwango vya juu tena waliokomaa kweli kweli kama akina Silva, Kou, Sterling, Kante, nk. Vinginevyo TT hawezi endana na wachezaji ambao hawajakomaa

Sababu kubwa ya kusema hivi ni kwamba TT hana mfumo mmoja wala style moja. anabadilika badilika

Siku moja nilijaribu kuwatofautisha makocha wanne na attributes zao
  1. PEP - mzee wa possessive football - hii falsafa binafsi siipendi kwa sababu inachosha kuangalia mpira wa naman hii kwa sababu ina sideways na back passes nyingi
  2. Klopp = mzee wa direct football, wachezaji wakirecover mpira ni mbele kwa haraka kwa ku break line hadi raha, inataka kufanana na counter attack. Mfumo huu hauchoshi kuangalia
  3. Conte = Mzee wa Counter attack, huu mfumo hauna pasi nyingi, pasi moja au mbili mfungaji wa tatu hadi raha
  4. Tuchel = Mzee wa tactics, uchezaji unabadilika badilika hata ndani ya mechi moja inawezxa mifumo na aina ya uchezaji ukabadilika. Hii style inasababisha hawa wachezaji wadogo washindwe kucheza vizuri consistently
 
Chelsea want to sign Barcelona's Pierre-Emerick Aubameyang (33). However, player has expressed he is happy at Barcelona. (@FabrizioRomano)

Wewe hujui kabisa diplomasia ya soka, ulitaka aseme hayuko happy kama Lukaku na Werner. Akisema Happy inasaidia vitu vingi. Asipochukuliwa bado atajenga picha ya uzalendo mbele ya mashabiki, kocha na uongozi. Akisajiliwa akatoka Barca bado hana hukumu. Akikwepa kusema happiness watamuwekea maneno ya hayuko happy na asiposajiliwa ataonekana sio mzalendo. Mfano mzuri Ronaldo asipopata timu nyingine akabakia Man U maisha yake hayatakuwa mazuri kabisa
 
Muangalie hii clip, ni baadhi ya mechi tu hizo
Wachezaj wetu ndio wenye Shida,
Sio mechi 1 tu wanafanya hivyo mechi nyingi tu wanafanya hivyo

Kuna mda unaona kabisa hii ni counter attack ya kwenda kuscore na wengine ushaona kabisa washafungua wako katika nafasi nzuri ila utakuta wanakaa na mpira mpk wapinzan wanarudi nyinngine badala ya kupiga through pass unakuta anapiga sideway pass.

Mfan
Msim uliopita
Game dhid ya Liverpool(anfield) kuna counter attack tulipata havertz alipaswa ampe lukaku ascore ila cha aajabu akakaa na mpira akataka kushoot n ikawa blocked

Anyway hii clip hapo chini imeonyesha baadh ya mechi tu,
 
Je mnafahamu Motto au slogan ya Chelsea?

Hii hapa

'Nisi Dominus Frustra' = "Without God, it is in vain" Kwa kiswahili "Yote ni bure bila Mungu" Zaburi ya 127

ZABURI 127: 1
"BWANA asipoijenga nyumba Waijengao wafanya kazi bure. BWANA asipoulinda mji Yeye aulindaye akesha bure"

Kuna aliyekuwa anaijua? Je ni kwa nini haiko maarufu kama ya Liverpool “You'll Never Walk Alone”.??

Chelsea's mantra of 'Nisi Dominus Frustra' translates into English as meaning 'Without God, it is in vain'. The phrase's link to the club's brand, kit, and the crest is weak, however, and many fans of the Stamford Bridge side may not even be aware of its existence, let alone it's meaning.

Psalm 127: 1
Unless the LORD builds the house, its builders labor in vain. Unless the LORD watches over the city, the watchmen stand guard in vain"
 
1660049198256.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom