[emoji117] Wanasema wachezaji ndio wanatengemeza mfumo wa uchezaji, ila sidhani kama wachezaji ndio wanatengeneza style ya uchezaji ndani ya mfumo husika.
[emoji117] Hivi kweli wadau ina maana wachezaji tulionao ni wa kucheza pass fupi fupi hawawezi kupiga pass ndefu mbele au kucheza counter attacks?
[emoji117] Kweli wachezaji tulionao hawawezi ku-unlock timu pinzani ikiwa imepaki basi?
[emoji117] Changamoto hapa ni:-
1. Mfumo mgumu?
2. Style ya uchezaji ngumu?
2. Wachezaji hawana uwezo?
[emoji117] Kama majibu ni mfumo mgumu/style ya uchezaji ni ngumu kwanini TT abadilishe mfumo au style?
[emoji117] Twende tujaribu 433, 4-4-2 au 4-2-31. Binafsi naona kama mfumo wa 3-4-3 unatufunga wenyewe.
A) 4- 3- 3
Sterling ---- Kai ----- Ziyech
Gallagher --- Kante --- Mount
Cucu -- Koulibaly ---- Silva---James
B) 4-4-2
--------------Sterling------ Kai ------------
Cucu ---- Kante --- Kovacic --- Mount
Chil ---- Koulibaly ---- Silva ------James
C) 4-2-3-1
----------------------- Broja ---------------------
----Sterling--------- Kai -------------Mount
---------------- Kante --- Kovacic -----------
Cucu ---- Koulibaly --- Silva ---James