Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea leo wako Italy kuanza mazungumzo ya kumsajili kiungo kinda wa miaka 18 machachari Cesare Casadei wa Intermilan. Ujio huo pia itatoa fursa kujadili mkataba na mchezaji. Arsenal wanamfukuzia pia kiungo huyo
Nasikia pia tunamalizana na kijana wa kibrazil
 
Barca kashafanya yake naanza kuamini

Ndio maana ornstein hajapost

| @gerardromero:


“If I say the name of the player's agent meeting with FC Barcelona, a tsunami will occur.”


Hakuna kitu kama, hizo ni deal tofauti,
Probably hiyo ni ya Bernardo
 
Wewe endelea kubisha

Hadi kesho utaelewa

Deal la RAPHINA ,Kounde wenzako walikuwa wabishi hivi hivi
Acha ubishi, kuna tofauti katika deal zote hizo,

Hakuna sehem ambayo wote/pande zote(buyer, player,Seller) walifikia makubaliano, yani pande mbili zilikubaliana ila pande ya 3 ikakataaa

Kama unafatilia hakuna hata transafer kati ya hizo ambazo Fabrizio alisema here we go n medical siku yake
 
| JUST IN: Barcelona have offered Brighton €50 million + add ons for Marc Cucurella

@gerardromero []
Naona unacopy kutoka fake account za twitter

Nenda kwa hizi account
ManagingBarce yenyewe japo zipo fake account
Na Reshad Rahman au Relevo

If unaelewa kispanyola nenda kamuangalie kwenye stream yake ya Twitch
 
1659588330646.png
 
Zaha nae si alikuwa flop man u au umesahau? depay sio winga halisi ni mchezaji ambaye anaweza akaplay as number 10 kwenye mechi hiyo hiyo yupo dnamic hatulii kwenye nafasi moja lakini zaha ni winga halisia anaecheza pembeni zaidi kutokana na mfumo wa TT uchezaji wa aina ya depay unafit unaruhusu flow of movement in attacking ukizingatia hatuchezi na striker halisia
Wilfred Zaha amewahi cheza man u lini?
 
Barca anataka abebe cocurela huko

| @gerardromero: “If I say the name of the player's agent meeting with FC Barcelona, a tsunami will occur.”

| Mateu Alemany & Joan Laporta are having dinner with a player's agent right now.
@gerardromero []

| @gerardromero: “Marc Cucurella's agents are by chance in Barcelona.”
Kweli Arsenyeto ni matakataka.
 
Barca president Joan Laporta has confirmed that the club has to register their new signings by August 13. And for the Catalan giants to register the likes of Raphinha, Robert Lewandowski, Jules Kounde, Andreas Christensen and Franck Kessie, they need to offload quite a number of their current players.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom