Hiki kitu ndicho anachofeli Tod, wazoefu wore wa hiz kazi hukuti wanaingia kichwa kichwa kila deal bila kupeleleza camp zote ya mchezaji na wakala na kwa timu husikaKounde bana alishasajiliwa siku nyingi Barcelona, sis ndio tulioingia kichwa kichwa bila plan
Ni vyema kuanzia kumpleleleza mchezaji kama hana mapenzi na timu shit muache apotelee huko dunia ina vipawa vingi sana tunaweza hata kwenda kule flamengo corithins kutafuta vipaji au hata kuja Tanzania kuwatafuta akina Kagere.
Pep sajiri zake za kimkakati sanaPau Torres 90% deal done to city
Willian walimsubiria nje, alipomaliza medical Spurs akaambiwa ingia ndani ya gari akashushwa Stamford Bridge. Akatangazwa amesajiliwa [emoji2297][emoji2297][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Man City wakatufanya hivyo kwa Robinho[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tutamkumbuka sana Roman yeye alikuwa ana uwezo wa kuhijack deal lolote analotaka kipindi cha nyuma Mikel Obi,salah,Willian,Robben na Pedro ila now mambo yanarudi upande wetu
Mimi nilishangaa mtu huna uzoefu unaingia kichwa kichwa unawafukuza wazoefu. Kwa jinsi Marina na Petr Cech walivyo ondoka lazima walitofautia kuhusu mbinu na mikakati ya kutumia kwenye kusajili. Ilikuwa haraka haraka mnoHiki kitu ndicho anachofeli Tod, wazoefu wore wa hiz kazi hukuti wanaingia kichwa kichwa kila deal bila kupeleleza camp zote ya mchezaji na wakala na kwa timu husika
Marina aliwekwa pale na Roman sio kwa bahati mbaya ,
Huyu Toddy angekutana na Chelsea ile kipind imetoka kufungiwa na inahitaji isajiri , angepoteana sana
Angesubiri dirisha liishe awaruhusu kina marina waondoke
Watu wanawapaga had pesa za kutosha mawakala ,had deals zinakamilika
Mimi nilishangaa mtu huna uzoefu unaingia kichwa kichwa unawafukuza wazoefu. Kwa jinsi Marina na Petr Cech walivyo ondoka lazima walitofautia kuhusu mbinu na mikakati ya kutumia kwenye kusajili. Ilikuwa haraka haraka mno
hawa barca hawa[emoji599] Chelsea are not happy about the current situation because they consider the deal as imminent by sending the paper works, but still to receive the green light from player side, Barcelona are pushing for the player.[emoji632] #FCB
(via @FabrizioRomano[emoji281])
Mkuu naweza kupata link kwa hii game ya leo?kama wewe ni active member wa package yeyote ya DSTV tumia hii hapa
DStv Stream - Watch Live sports and Catch Up on TV series, movies and kids shows online.
Watch your DStv Stream online. Stream Live Sport, Catch Up on your favourite TV Shows, Movies and Kids shows on your mobile phone, web browser, smart TV and more. Download to watch later on your mobile. See what’s on in the TV guide. Download the DStv Stream app.now.dstv.com
Hatufiki kwenye eneo lao. Na hata tukifika Werner bado sana. Confidence yake is decreasing each new day na tayari wameshapishana na gaffer. Kila akipata mpira anawaza. Basically, Chelsea bado sana. Siyo tishio kwa team yoyote.Ht.2-0
Hakuna muunganiko kuanzia mabeki mpaka viungo sijui huko mazoezini wanafanyaga nnTunapoteza mipira sana, wala hatupress, nikama bado tuko likizo vile.
Arsenal wako sharp, + pressing