Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Lukaku anaitafuna Chelsea kisawasawa aisee[emoji23][emoji23][emoji23]


Sometimes kufanya kazi kwa mkataba ni raha ,cheki lukaku ,halichezi ila linavuta mpunga mrefu kuliko wote na halijali kabisa [emoji23] ...wanaoipigania timu ni watu wengine kabisa [emoji23][emoji23]kuwekeza kwenye mpira kunahitaji uvumilivu
 
1658559105646.png
 
Huyu Omari Hutchinson alikuwaga Chelsea academy 2012 akachukuliwa na Charlton Athletic na baadaye 2015 akachukuliwa na Arsenal baada ya kuonyesha mchezo mzuri Charlton Athletic walipocheza na Arsenal. 2015-2022 karudi Chelsea. Kule Arsenal kuna nini kwa sababu kasema asiulizwe sababu za yeye kuikimbia Arsenal
 
Mabeki wa Chelsea
  1. James backup ni Azpilicueta
  2. Kounde backup ni Chalobah
  3. Silva backup ni Malang Sarr
  4. Koulibaly backup ni Levi Colwill
  5. Chilwell backup ni Alonso
Emerson tunamuweka wapi?
 
Hii issue ya Kounde hata haiweleweki,

Tusubir tu mpk hapo tutakapoona kavaa jezi[emoji23]
Media ndio zinatuchanganya, upande wa Barcelona wakija na uongo wanauremba kweli kweli
Wapinzani wa Barcelona wakija wanaturemba kweli kweli na kutupa false hopes kibao
Leo tena kun a media wamekuja wakidai Barca wanataka kufanya hijack ya mwisho
Media zingine zinadai Sevilar wanataka kupata cash haraka ili wafanye replacement ya Kounde kabla hawajachelewa
Kounde anadai kaenda kujiunga na wenzake baada ya kuona dili linacheleweshwa na yeye asingeweza kufanya mazoezi spani peke yake. Kaona "that is not professional"
Gerard Romero leo kadai dili tayari imebaki paper works ili Kounde ahamie Camp Nou
1658567704367.png
 
Media ndio zinatuchanganya, upande wa Barcelona wakija na uongo wanauremba kweli kweli
Wapinzani wa Barcelona wakija wanaturemba kweli kweli na kutupa false hopes kibao
Leo tena kun a media wamekuja wakidai Barca wanataka kufanya hijack ya mwisho
Media zingine zinadai Sevilar wanataka kupata cash haraka ili wafanye replacement ya Kounde kabla hawajachelewa
Kounde anadai kaenda kujiunga na wenzake baada ya kuona dili linacheleweshwa na yeye asingeweza kufanya mazoezi spani peke yake. Kaona "that is not professional"
Gerard Romero leo kadai dili tayari imebaki paper works ili Kounde ahamie Camp Nou
View attachment 2301016
Ngoja tusubir tuone,

Sevilla wanataka bidding war tu hapa ili wapate hela nzuri
 
Huyu Omari Hutchinson alikuwaga Chelsea academy 2012 akachukuliwa na Charlton Athletic na baadaye 2015 akachukuliwa na Arsenal baada ya kuonyesha mchezo mzuri Charlton Athletic walipocheza na Arsenal. 2015-2022 karudi Chelsea. Kule Arsenal kuna nini kwa sababu kasema asiulizwe sababu za yeye kuikimbia Arsenal
Dogo tumemlea toka akiwa mdogo , alikuwa apandishwe timu ,ila kaleta Kiburi anataka mshahara mkubwa

Kaambiwa aondoke, Tunaona anapost picha akiwa na jez za Chelsea ,nyingine akiwa na drogba
 
Ngoja tusubir tuone,

Sevilla wanataka bidding war tu hapa ili wapate hela nzuri
Na ndio wanaomwambia Kounde avute vute muda. Maana Sevilla tayari wameshakubali bei. Na Barca hata Kounde mwenyewe anaelewa kabisa kwamba Barca hawawezi kumlipa mshahara ambao Chelsea watamlipa. Sana sana Sevilla wakipata dau kubwa kwa Barca wataachana na Chelsea na lazima watampooza Kounde.
 
Nyie cheltako mmeona ball huko kama vile tulikuwa wabovu mlishindwa kutufunga saizi mjiandae tumetangaza vita na nyie.
 
Huyu Omari Hutchinson alikuwaga Chelsea academy 2012 akachukuliwa na Charlton Athletic na baadaye 2015 akachukuliwa na Arsenal baada ya kuonyesha mchezo mzuri Charlton Athletic walipocheza na Arsenal. 2015-2022 karudi Chelsea. Kule Arsenal kuna nini kwa sababu kasema asiulizwe sababu za yeye kuikimbia Arsenal
Dogo Kakimbia competition, Mbele yake yupo Marcelo flores then Marquinhos then Saka na bado tunasajili new Winger.
 
Mwenye ofa kubwa ndie atakae mchukua Kounde ndio Sevilla wanachotaka kufanya sasa.
Screenshot_20220723-154439_Twitter.jpg
 
Ishu sio mshahara bali ni mapenzi ya mchezaji anataka kucheza wapi.

Dembele na Raphina tuliwapa ofa ya mishahara mikubwa compaired na Barca mwisho wa siku wametuacha solemba.

Hapo unakuta Kounde mwenyewe anawaambia Sevilla vuteni vuteni tuwasikilizie Barca.

Ndio maana nasema Kama Kounde mapenzi yake ni kucheza THE BLUES atakuja tuu, mshahara maelewano.
Chelsea hawakupeleka ofa yeyote kwa dembele.

Issue ya kounde iko tofauti ,
Kounde ashakubaliana na sisi mkataba wa miaka 5, shida ipo kwa sevilla ndio wanaosuasua kusign document zilizotumwq
Huku wakitegemea ofa from barce

Sevilla wanachotaka ni bidding war , atakae toa pesa nyingi ndie anaemchukua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom