TT mie huwa kuna wakati kma anajizima data simuelewi kabsaaaaHuyu iva toney kweli angetusaidia. lkn sijui kwa nini kocha wa hamfikirii.
Hili dili Kounde kuna kila dalili likafeli kama la Raphinha maana Sevilla wana chelewesha makusudi kumuuza mpaka waone dau la Barca halafu mchezaji afanye maamuzi yakeShabiki moja wa Chelsea kashauri baada ya dili la Kounde kumalizika, itakuwa vyema UEFA wakazipanga Barcelona na Chelsea group moja ili tumalizane bifu mapema
View attachment 2299216
Konde boy.Nani asajiliwe.?
Hawezi kuja apo darajani,,,[emoji16][emoji16]Pamoja na mbwembwe za hao wachovu, (Wanatembelea jina la zamani tu) sisi Chelsea tumeshamsajili Kounde
Taarifa za karibu zinasema kuwa Kounde ameshabook nyumba aliyokuwa anaishi Lukaku. Na taratibu zote za kuhamia London imeshakamilika
Pia ameshawaaga wapenzi wake na wakamsihi asihamie klabu yeyote ya spain. Sidhani kama Kounde atawaangusha wapenzi wake
Usajili wa Kounde bado una maruweruwe. Upepo unaelekea kule kule kama wa Raphinha. Barca wanatufanyia mambo ya kishenzi sana kurubuni rubuni wachezaji. Xavi ana usongo na Chelsea kwa kitu tuliwafanya 2012.Pamoja na mbwembwe za hao wachovu, (Wanatembelea jina la zamani tu) sisi Chelsea tumeshamsajili Kounde
Taarifa za karibu zinasema kuwa Kounde ameshabook nyumba aliyokuwa anaishi Lukaku. Na taratibu zote za kuhamia London imeshakamilika
Pia ameshawaaga wapenzi wake na wakamsihi asihamie klabu yeyote ya spain. Sidhani kama Kounde atawaangusha wapenzi wake
Katika beki wote tutakao kuwa nao. Hakuna beki anapiga penetrationa pasi kama huyo msenegali.Napenda beki anaejua kupga pasi, kama Silva huwa namuelewa sana.
Rudger alikua mzuri ila kwenye kupga pasi hakua mzur kivile.
Lakini bado hamkuti KimpembeKatika beki wote tutakao kuwa nao. Hakuna beki anapiga penetrationa pasi kama huyo msenegali.
Todd Boehly alikuwa anakandia style ya Abramovich kwenye usajili lakini soon or later atakuja kuiga style hiyo maana hizi blow anazopigwa sasa sio ya kuvumilia, ni aibu tupuUsajili wa Kounde bado una maruweruwe. Upepo unaelekea kule kule kama wa Raphinha. Barca wanatufanyia mambo ya kishenzi sana kurubuni rubuni wachezaji. Xavi ana usongo na Chelsea kwa kitu tuliwafanya 2012.View attachment 2299342View attachment 2299343View attachment 2299344View attachment 2299345
Tatizo la Kimpembe, uzuri wake mkubwa uko kwenye passing tu,maeneo mengine yuko average compared to other great current CBsLakini bado hamkuti Kimpembe
Ni kwamba De Jong hataki kwenda Utd au Barca ndo hawapo tayari kumlipa anachowadai ili deal to Utd likamilike?Man U wametoa Euro 65m plus 20m addons na wamekubaliwa, hii ya mil 100 umeitoa wapi?
Hata Chelsea wakilipa pungufu kidogo ya Euro 65m, Barca watakubali kwa sababu ni Barca ndio wanaotaka kumfanyia Offloading De Jong
De Jong hataki kwenda Man U kwa sababu hawako UCL
De Jong anapenda kubaki Barca kwa sababu ndio dream team yake
Barca wamempa masharti akubali kupunguziwa mshahara ili aendelee kubaki kitu ambacho kambi ya De Jong hawaliungi mkono
De Jong kasema kama ni kutoka Barca basi iwe ni timu kama Chelsea ambayo project yake iko structured na inaendana na yeye anavyotaka
Chelsea wakipeleka Bid ya Euro 60m plus some addons Barca watamuachia De Jong
Kwa taarifa yako Barcelona wameshaishawishi Chelsea na PSG wamchukue De Jong kwa sababu ni hizi timu zenye sifa anazotaka De Jong
Barca sasa hivi kwa sababu ya matatizo yao ya kifedha wanahitaji wachezaji wa mshara mdogo na ndio maana hata Lewandowski kakubali kupunguziwa mshara wake hadi ikawa below 200,000/week wakati Bayern alikuwa anapokea karibia 400,000/week
TRUST MY WORDS
De Jong hataki kwenda United kwa sababu za statu quoNi kwamba De Jong hataki kwenda Utd au Barca ndo hawapo tayari kumlipa anachowadai ili deal to Utd likamilike?
Mkuu hapo kwa marina sio yeye aliyespend dirisha lote la msim uliopita kwa LukakuWanaume sisi ni box to box performers (single task performers)
Wanawake ni suppergate performers (multitask performers)
Hii ndio tofauti ya Marina na Boehly
Boehly anafanya usajili mmoja ukiisha unafuata mwingine -Too slow
Marina alikuwa akipeleka sajili zote zinazotakiwa kwa pamoja
Tungekuwa na Marina hapa biashara ingeisha asubuhi
Tutaanza ligi tukiwa tumepigwa bao na Arsenal na Spurs
😂😂😂😂😂Pamoja na mbwembwe za hao wachovu, (Wanatembelea jina la zamani tu) sisi Chelsea tumeshamsajili Kounde
Taarifa za karibu zinasema kuwa Kounde ameshabook nyumba aliyokuwa anaishi Lukaku. Na taratibu zote za kuhamia London imeshakamilika
Pia ameshawaaga wapenzi wake na wakamsihi asihamie klabu yeyote ya spain. Sidhani kama Kounde atawaangusha wapenzi wake
Kama usajili wa maana wa zaidi ya Sterling na Koulibaly hautafanyika, hata top 4 tumepigwa bao kwa sababu Arsenal na Spurs wao wameshafanya sajili makocha wao walivyotaka. Kwa hiyo hakuna cha Sterling wala Koulibaly hapaSWALI:- Je RAHIM STERLING peke yake ataweza kuibeba mgongoni THE BLUES EPL msimu 22/23?
Nauliza hivi kwa sababu Werner, Ziyech, Odoi, Kai, Pulisic, uwezo wao wa kufunga magoli mengi EPL ni mdogo.
Na wameshamtayarisha pau tores kama backup nasikia tores ni mzuri hata kuliko kounde.😂😂😂😂😂
Make kwanza nicheke
Barca wamemwambia kounde afanye km raphinha😂