Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ethan Ampadu alikua na mchezo Mzuri Sana, Nadhani akipata game time yakutosha anafaa kuwa backup ya Tiago Silva
Game time si alipata ya kutosha kule kwenye mkopo, may kwa vile bado young bado anaweza kukua
 
Yule Malang akija kutulia itakuja kukataa maneno yako chief ..yule apate uzoefu kwanza kwa Matumizi ya baadaye
Usikwepe mada mkuu, Eriksen ni bonge la kiungo, majeraha yale kashapona na ameprove hilo msimu uliopita. Eriksen ni type ya akin Modric wa Real Madrid, anatumia brain sana wakati anacheza tofauti na hawa wa kwetu wa kukariri kama akina Jorgninho. Afadhali Kova na Kante wana style yao ya uchezaji wenye faida kwa timu. Uwezo wa kupeleka mipira mbele, ila Jorginho sionagi faida yake zaidi ya sideways na back passes ili tumiliki mpira kwa 70% huku tunadondosha points
 
First half, team haijacheza vzr . Hawa club America wako serious Sana wanakaba na wanacheza kimbinu Zaidi.
First Eleven ilioanza inacheza kwa kujiogopa wanataka watawale mchezo lakin wanashindwa Club America wanafika Sana.
Conor amecheza vzr, Kennedy Hana kasheshe, Sarr amecheza vzr, Odoi ,. Zeyech hawaja perform, Barkley hamna kasheshe.
Eleven ya second half, wapo vzr so far.
Bila Shaka umeiona game maana Huyo sarr kwenye comments nimeona mahali wamemsifia kacheza vzuri firsthalf
 
First half, team haijacheza vzr . Hawa club America wako serious Sana wanakaba na wanacheza kimbinu Zaidi.
First Eleven ilioanza inacheza kwa kujiogopa wanataka watawale mchezo lakin wanashindwa Club America wanafika Sana.
Conor amecheza vzr, Kennedy Hana kasheshe, Sarr amecheza vzr, Odoi ,. Zeyech hawaja perform, Barkley hamna kasheshe.
Eleven ya second half, wapo vzr so far.
Pia wanasema chilwell hakuwa na Moto Sana Labda Kwa Sababu ya kutoka kwenye injury anaregain fitness yake
 
Usikwepe mada mkuu, Eriksen ni bonge la kiungo, majeraha yale kashapona na ameprove hilo msimu uliopita. Eriksen ni type ya akin Modric wa Real Madrid, anatumia brain sana wakati anacheza tofauti na hawa wa kwetu wa kukariri kama akina Jorgninho. Afadhali Kova na Kante wana style yao ya uchezaji wenye faida kwa timu. Uwezo wa kupeleka mipira mbele, ila Jorginho sionagi faida yake zaidi ya sideways na back passes ili tumiliki mpira kwa 70% huku tunadondosha points
Watu wanaojua mpira wanafahamu ubora wa jorginho na nini ana offer kwenye team hiv umeona alivyoingia jorginho jana kipindi Cha pili nini kilitokea tofauti ukicompare na kipindi Cha kwanza ambapo alikuwa hayupo uwe unaangalia mpira general sio unajikita kwenye magoal na assist
 
Wakuu mngeweka vikosi vilivyocheza kipindi cha kwamza na cha pili
First half
Kepa
Silva
Sarr
Chalobah
Chilwell
Odoi
Galagher
Barkley
Kenedy
Havertz
Ziyech

2nd half
Betineli
Azplicueta
Ampadu
Emerson
Alonso
James
Jorginho
Mount
Pulisic
Werner
Batchuay
 
Kawaida aisee, alikaribia kupata Chance ila haikua imetulia mguuni
Kwa highlight nimeona kacheza vizuri nimeona katengeneza nafasi mbili Moja ya cross kichwa kikapigwa na Thiago silva kipa akaokoa nyingine kamtengenezea kai akazigua
 
Watu wanaojua mpira wanafahamu ubora wa jorginho na nini ana offer kwenye team hiv umeona alivyoingia jorginho jana kipindi Cha pili nini kilitokea tofauti ukicompare na kipindi Cha kwanza ambapo alikuwa hayupo uwe unaangalia mpira general sio unajikita kwenye magoal na assist
Nimeeleza clearly faida yake tumiliki mpira then?? tunabeba ubingwa then. Jorginho hata kama ni mzuri hawezi kutuvusha tunakotaka kwenda .period
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom