Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea manager rules out Nottingham Forest Armando Broja transfer after £30m West Ham bid

Nottingham Forest were not alone in their interest with Premier League rivals Everton, Newcastle United, Southampton and West Ham United all also interested in the Chelsea striker

Chelsea manager Thomas Tuchel has admitted that they have "no interest in selling" striker Armando Broja amid interest from Nottingham Forest.
View attachment 2292717
Broja hawezi kuuzwa huyu ni Lewandowski ajaye. Very soon
 
📲| Raphinha on IG:
IMG_20220716_150736.jpg
 
Kila siku CL ,CL ifike hatua mjue CL ni kombe la kawaida na haliwezi kudetermine ubora wa mchezaji ....wachezaji kibao tu wamefanya makubwa wamestafu na Dunia inawaheshimu na hawana hio CL
Imekuingia hiyo. Haya nenda jikoni kwa kina mama toka kwenye kikome cha wanaume!

Kikome ni ule moto unawashwa kwaajili ya watu kuota/kupata joto na kufanya maongezi kadha wa kadha hasa nyakati za jioni au asubuhi.
 
Natamani hata dogo beki 5 Colwill wasimuuze maana msimu ujao substitutions tano zitaruhusiwa, na dogo naona kama atapata nafasi ya kutengeneza nafasi ya kuwa starter
Colwill amepata playing time ya kutosha Hudders anaweza kupata muda wa kucheza darajani na ukizingatia Silva kwa umri wake anytime anapata majeraha so hawa madogo lazima wawepo tu.
 
Eriksen alitaka timu kama Chelsea on free, wakapuuza hadi manure wakamchukua, so sad
Unajua si kila mchezaji aje Chelsea na anakuja kma anamipango na mwal kam hana ndio maana TT wala hajataka kuangaika na Erikisen elewa hiyo
 
Unajua si kila mchezaji aje Chelsea na anakuja kma anamipango na mwal kam hana ndio maana TT wala hajataka kuangaika na Erikisen elewa hiyo
Tangu enzi za Marina na sasa makosa bado kuoverlook mambo kisa kocha hana mpango naye ila akina Ake anampango naye. Makocha pia ni binadamu saa nyingine wanaona kengeza

Kocha ana plan na matakataka yale yasiyoona goli liko upande gani
 
First half, team haijacheza vzr . Hawa club America wako serious Sana wanakaba na wanacheza kimbinu Zaidi.
First Eleven ilioanza inacheza kwa kujiogopa wanataka watawale mchezo lakin wanashindwa Club America wanafika Sana.
Conor amecheza vzr, Kennedy Hana kasheshe, Sarr amecheza vzr, Odoi ,. Zeyech hawaja perform, Barkley hamna kasheshe.
Eleven ya second half, wapo vzr so far.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom