lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,387
- 25,493
Banitez adai Koulibaly ana tatizo la kukosa concetration na pia mzito kwenye kuruka
Ni ngumu hao uliowapendekeza wakasajiliwa kwa dirisha Moja for me naona upande wa Benchilwell wasisajili tuna Alonso na Emerson eneo muhimu kusajili ni la James kwasababu huko hatuna mtu wakueleweka alzipilicueta umri umeenda, tuna hitaji two central backs wakusaidiana na Thia silva na Koulibaly nafasi Moja inayobaki waangalie Kati ya striker au winger kwa ujumla signing ni 4 ukijumlisha na Koulibaly na sterling zinakuwa 6.Mzee kwa muda uliobaki ni ngumu na haitawezekana kufanya signing 8Hakuna ubishi hapo, UEFA mwaka juzi tuliupata kwa hisani ya ulinzi imara
Ila kwa timu kubwa kama Chelsea tuimarishe kote kote, uwezo tunao, sababu tunayo na nia tunayo
Nyuma tukipata CB wawili au watatu wanatosha, kiungo wawili wanatosha, mbele striker mmoja na winga mmoja wanatosha
CBs
RB/LB
- Koulibaly - - Mpya (atahitaji rotation ili kupumzishwa)
- Silva - atahitaji rotation ili kupumzishwa
- Kimpembe - Mpya au Jules Kound - Mpya
- Chalobah - Backup
- Levi Colwill - Backup
DMs
- James
- Chilwell
- LB Mpya - Backup
- RB Mpya - Backup
CMs
- Kante - atahitaji rotation ili kupumzishwa
- DM Mpya - Backups
AMs
- Kovacic
- Jorginho
- Reuben Lostas Cheek
Wingers
- Mason Mount
- Mpya - Kiungo mbunifu na mfungaji kama Mount au zaidi yake
Striker
- Sterling - Mpya
- Werner
- Ziyech
- Havertz
- Mpya - Mfungaji
Hayo mapendekezo imelenga 433 na itahitaji kusajili wapya 9 kama CB ni wawili au 10 kama CB watasajiliwa 3
- Mpya - mfungaji wa 20+ goals
- Armando Broja - backup
Kwa 343 haitaji wingers only kuboresha viungo washambuliaji, so watakaoongezeka wanaweza wakawa CB 3, Wing-backs 2, DM 1 na Attacking Midfielder 1 na Striker mmoja jumla 8
Ni ngumu hao uliowapendekeza wakasajiliwa kwa dirisha Moja for me naona upande wa Benchilwell wasisajili tuna Alonso na Emerson eneo muhimu kusajili ni la James kwasababu huko hatuna mtu wakueleweka alzipilicueta umri umeenda, tuna hitaji two central backs wakusaidiana na Thia silva na Koulibaly nafasi Moja inayobaki waangalie Kati ya striker au winger kwa ujumla signing ni 4 ukijumlisha na Koulibaly na sterling zinakuwa 6.Mzee kwa muda uliobaki ni ngumu na haitawe kufanya signing 8Hakuna ubishi hapo, UEFA mwaka juzi tuliupata kwa hisani ya ulinzi imara
Ila kwa timu kubwa kama Chelsea tuimarishe kote kote, uwezo tunao, sababu tunayo na nia tunayo
Nyuma tukipata CB wawili au watatu wanatosha, kiungo wawili wanatosha, mbele striker mmoja na winga mmoja wanatosha
CBs
RB/LB
- Koulibaly - - Mpya (atahitaji rotation ili kupumzishwa)
- Silva - atahitaji rotation ili kupumzishwa
- Kimpembe - Mpya au Jules Kound - Mpya
- Chalobah - Backup
- Levi Colwill - Backup
DMs
- James
- Chilwell
- LB Mpya - Backup
- RB Mpya - Backup
CMs
- Kante - atahitaji rotation ili kupumzishwa
- DM Mpya - Backups
AMs
- Kovacic
- Jorginho
- Reuben Lostas Cheek
Wingers
- Mason Mount
- Mpya - Kiungo mbunifu na mfungaji kama Mount au zaidi yake
Striker
- Sterling - Mpya
- Werner
- Ziyech
- Havertz
- Mpya - Mfungaji
Hayo mapendekezo imelenga 433 na itahitaji kusajili wapya 9 kama CB ni wawili au 10 kama CB watasajiliwa 3
- Mpya - mfungaji wa 20+ goals
- Armando Broja - backup
Kwa 343 haitaji wingers only kuboresha viungo washambuliaji, so watakaoongezeka wanaweza wakawa CB 3, Wing-backs 2, DM 1 na Attacking Midfielder 1 na Striker mmoja jumla 8
Hana akili timamu huyu!Huyu Mshabiki wa AC Milan aliyechora Tatuu ya Leao kwenye mguu wake kaandika Leao asiposaini mktaba ataukata mguu wake. Chelsea na Man city wanaifukuzia saini ya huyo forward aliyeiwezehsa AC Milan kubeba ubingwa wa Italy msimu uliopita baada ya
Too much of a hope?Naiman wiki hii tutakamilisha deal mojawapo kati ya Jules Kounde au Kimpembe
Huyu Broja anapaswa kubaki msimu huu lasivyo tutakuja kulia baadaeWest Ham are now close to signing Armando Broja. Talks progressing with Chelsea, West Ham insist for permanent deal after official offer submitted but it’s up to Chelsea #WHUFC
Broja has agreed personal terms with West Ham - all parties are getting closer.
[Fabrizio Romano]
Dogo anataka kuondoka mwenyewe haoni nafasi ya kuanza kikosi cha kwanza anataka apate nafasi ndio maana kaaamua kuondoka na dili linakamilika soonHuyu Broja anapaswa kubaki msimu huu lasivyo tutakuja kulia baadae
Dogo anataka regular 1st team start, nahicho kitu huwez kuhakikishiwa kwa tim kama chelsea or top clubHuyu Broja anapaswa kubaki msimu huu lasivyo tutakuja kulia baadae
Shida iliyokuwepo hatuna natural striker kule mbele ukitoa werner na sioni plan ya kusajiri namba 9 ni bora Broja abaki akipishana na wernerHawa madogo wanahisi watapata nafasi kiurahis never, u have to earn it,
Napenda jins Ampadu n Galagher wanavyojituma na hata kwenye interview zao ukiwaskia utakuta wanapigania nafasi zao
Ila Broja n Colwil kutaka gurantee ya regular 1st team start hicho kitu huwez kipata kwa top club,
Lazima upiganie nafasi yako, haijalishi kwenye loan ulifanyaje, stay n prov kama unastahil kuanza or kupata hizo dakika
Chalobah alibaki na kila nafas aliyokuwa akipata alikuwa anaonesha kama anataka nafasi,
Ila colwil n broja hata mechi 1 hawajacheza kwenye pre season hii tayari vichwa vishawajaa
Na broja ndio hataki kubaki, bila kuhakikishiwaShida iliyokuwepo hatuna natural striker kule mbele ukitoa werner na sioni plan ya kusajiri namba 9 ni bora Broja abaki akipishana na werner
Ligi ni mbio ndefu kuna mechi zitahitaji uwe na namba 9 ili uweze kumaliza mechi huyu Kai ambaye anacheza force 9 kuna baadhi ya mechi zinamkataa