Mbona kuna mechi nyingi tu tumecheza bila Ziyech na tukakipga fresh tu, kwani wkt hachezi hiyo namba alikua anacheza nani? Sidhani kama Ziyech ni wamuhimu hiiivyo km unavyosema.We jamaa unanifurahisha hiv ujui hata nafasi ya sterling ni ipi? Sterling anacheza left wing ambapo kwenye hiyo nafasi anacheza Pulisic, odoi na Timo werner upande wa Ziyech ni right wing ukimtoa yeye hakuna mchezaji mwingine anayecheza kwenye hiyo nafasi
..hizo taarifa zipo Mzee ooh