Mbona naona wewe ndio unaoteseka kuliko sisi wenye team yetu uoni una tatizo?33 minutes - Sterling big chance missed
47 minutes - Sterling big chance missed
67 minutes - Sterling big chance missed
74 minutes - Werner for Sterling
81 minutes - Werner big chance missed
88 minutes - Werner big chance missed
FT Chelsea 0 - 1 Brighton
Scenes next season 😂
So let’s get this straight. Chelsea signed sterling. A guy that missed the most chances in the prem in the last 5 yearsMbona naona wewe ndio unaoteseka kuliko sisi wenye team yetu uoni una tatizo?
Sioni tukitoa 80+ kwa de ligt,Chelsea is offering De Ligt a five-year contract, £9m i(173,000/week or Euro 205,000/week) wage have been tabled as Tuchel's side look to flex their financial muscles.
If for some reason, the former Ajax prodigy was to snub Chelsea, Kalidou Koulibaly and Jules Kounde will reportedly be pursued.
Nimesoma sehemu lakini nakuhakikishia hizo ni poroja za media tu, waandishi wa habari wanajuaga kutengeneza cases kwa kuchukulia hali ya dressing room. Ziyech hakuridhika na game time Chelsea na kwa hiyo anataka kuondoka ila TT hakusema chochote kuhusu kuwa au kutokuwa na plan nayeMzee si sterling automatically anachukua nafasi yake...maana ziyech inasemekana hayupo kwenye mipango ya TT...aliyechukua nafasi ya Lukaku Kwa sasa n broja ...tusubiri bado zaidi ya siku 30 dirisha lifungwe
Sio uoni, De ligt amewapiga chini Chelsea, leo Viongoz wa Baryen wapo wanafanya negotiation na wawakilishi wa de ligtSioni tukitoa 80+ kwa de ligt,
❗| No one in football, not even agents know how FC Barcelona will get the money to sign Raphinha.mshahara wa Lewandowski ni Euro 450,000/week au paundi 380,000/week je Barcelona watauweza kama tu paundi 280,000/week ya Dembele wameshindwa
De ligt ame block mazungumzo na Chelsea anawataka Baryen tuSioni tukitoa 80+ kwa de ligt,
Hiyo pesa ina kazi nyingi sio kununua wachezaji tu❗| No one in football, not even agents know how FC Barcelona will get the money to sign Raphinha.
@FabrizioRomano [🎖️]
Wame ofa €75m kwa Raphina ,
Wewe unauliza watamlipa nini Lewandowisk?
Dembele mwenyewe kasha saini wanamalizia details chache TU
Barcelona Kuna hela anazipata wiki hii karibu €200m kauza haki zake kwa 10%
Na Awali alikuwa na €100m
So anaenda kutumbukiza mzigo wote kwenye usajiri
Habari mbaya hata De jong anaweza kubaki ,
Walichofanya Barca Target zao zote wakiwaambia wawe wavumilivu , ndio maana Lewandowisk, Raphina ,KOUNDE, Cesar,n.k hawasikilizi timu Nyingine zaidi ya BARCA
Ni kweli kwa usajiri wao wa pupa unaweza kuwaletea matatizo mbeleniHiyo pesa ina kazi nyingi sio kununua wachezaji tu
Dembele kashusha mshahara kwa 40% sasa unalingana na wa Ansu Fati
Kuuza haki za 10% TV kwa miaka 25 sio mchezo sasa mapato hayo hawatakuwa nayo kwa 25yrs na bado walikuwa wanatafuta mteja wa kuuza zingine
Bado kuna risk ya timu kutofanya vizuri na hivyo mapato mengione kupotea. hao wachezaji waliowanunua kwa pupa wanweza kuflop. Barcelona kacheza kamari tena mbaya ya kuuza nyumba
Let's wait and seeNi kweli kwa usajiri wao wa pupa unaweza kuwaletea matatizo mbeleni
Ila kwa TAARIFA kutoka Tier1 kwa habari za Barca ,wanasema €200m inaenda kwenye usajiri
Ndio maana wameshaandaa formal ofa kwa Leeds ya €72m
Wiki hii mzigo ukiingia wanaiwasilisha
Wewe ndo unafurahisha Mzee....sterling NI forward Kwa maana hyo anacheza nafasi zote za mbele kushoto , kulia , mpk false 9 kuna baadhi ya games pep alishawahi kumpanga....mkuu huyo ziyech anaenda Milan we jiandae kisaikolojiaWe jamaa unanifurahisha hiv ujui hata nafasi ya sterling ni ipi? Sterling anacheza left wing ambapo kwenye hiyo nafasi anacheza Pulisic, odoi na Timo werner upande wa Ziyech ni right wing ukimtoa yeye hakuna mchezaji mwingine anayecheza kwenye hiyo nafasi
naona mpk umeamua kujiita ziyechMkuu nasikiaga sperm huwa zinawashawasha makalioni, nadhani ndicho kinamsibu jamaa!Mbona naona wewe ndio unaoteseka kuliko sisi wenye team yetu uoni una tatizo?
Ukweli upo waz Ziyech anafos kwenda Milan ,Tena anafos sio kitoto,Wewe ndo unafurahisha Mzee....sterling NI forward Kwa maana hyo anacheza nafasi zote za mbele kushoto , kulia , mpk false 9 kuna baadhi ya games pep alishawahi kumpanga....mkuu huyo ziyech anaenda Milan we jiandae kisaikolojianaona mpk umeamua kujiita ziyech
At the the end of the league still Arsenal at midtable and Chelsea are qualified for UCL next season33 minutes - Sterling big chance missed
47 minutes - Sterling big chance missed
67 minutes - Sterling big chance missed
74 minutes - Werner for Sterling
81 minutes - Werner big chance missed
88 minutes - Werner big chance missed
FT Chelsea 0 - 1 Brighton
Scenes next season![]()




Pamoja na ivyo goal na assist contribution bado haishuki chini ya 15 kila msimuSo let’s get this straight. Chelsea signed sterling. A guy that missed the most chances in the prem in the last 5 years
They signed another Werner![]()


Chelsea hawawezi kumuacha Ziyech ikiwa hawajapata mtu labda angetua Raphinha kuhusu Ziyech kutaka kuondoka nadhani mzee kiingereza kiasi fulani kimekupiga chini Ziyech aliandika ile article inahusiana na kuachana na wakala wake kwa hiyo mambo yote atajisimamia yeye hajasema anataka kuondoka Chelsea hizo speculation unazosikia hazina tofauti na tulivyoambiwa Werner atakiwi Chelsea au kusikia kante anahusishwa na ArsenalWewe ndo unafurahisha Mzee....sterling NI forward Kwa maana hyo anacheza nafasi zote za mbele kushoto , kulia , mpk false 9 kuna baadhi ya games pep alishawahi kumpanga....mkuu huyo ziyech anaenda Milan we jiandae kisaikolojianaona mpk umeamua kujiita ziyech