Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Screenshot_20220705-094141.jpg

Moja kati ya comments nilizozielewa, iliwekwa kwenye post ya Kounde huko Twitani.
 
Thomas Tuchel wants Chelsea to enter the race to sign Lewandowski. However, the player prefers to join Barcelona.

➪ JamesOlley
 
Conference call today between Chelsea and Juventus, Chelsea proposed £60m + bonuses, Juventus want £64m + “Many bonuses” ( @AlfredoPedulla )

De Ligt doesn’t have a preference who he joins, highest bidders wins. ( @alfredopedulla ) #CFC
 
Todd anahitaji akaoge maji ya chumvi tena Coco pale. Siku za nyuma nilisema kwa nini Cech, Marina na Buck wanaondoka kwa pamoja tena haraka nikasema hii sio ishara nzuri ni kheri wange extend hata miezi mitatu mpaka sita ili tupite salama hiki kipindi.

Kinachoendelea huyu jamaa hana mvuto sokoni hajui ni kwa namna gani atawashawishi wachezaji lakini kama hii kazi ingefanywa na Marina tungesha sign hata mchezaji mmoja mpaka sasa.
Kuna tetesi kuwa muda wowote Michael Edwards ataajiriwa kwa kazi hiyo. Mimi naona anachelewa
 
Barcelona hawamtaki tena Kounde!

Barcelona make drastic Jules Kounde transfer U-turn
 
Barcelona hawamtaki tena Kounde!

Barcelona make drastic Jules Kounde transfer U-turn
Club yake inazingua Sana ndio inayoringa sio mchezaji mwenyewe itafika kipindi vilabu vyote vinavyomtaka vitamsusia huyo mchezaji
 
Club yake unazingua Sana ndio inayoringa sio mchezaji mwenyewe itafika kipindi vilabu vyote vinavyomtaka vitamsusia huyo mchezaji
Hii ndio dawa yao asusiwe hadi kiwango na thamani yake sokoni ishuke watamuuza kwa timu za ovyo ovyo
 
Chelsea Transfer News: Man City's Nathan Ake Talks More Advanced Than Juventus' Matthijs De Ligt Discussions
 
Cristiano Ronaldo hasara yake kubwa Chelsea ni mzigo anaouchukua kwa wiki, ila value alizo nazo ni nyingi sana
  1. Not injury prone
  2. Technically mzuri kwa magoli ya aina zote, guu la kushoto, kulia, kichwa nk
  3. A good leader and motivator kule dressing room
  4. Uzoefu wa kutosha kwa young growing talents
  5. Brand kubwa kwenye soko la fans, mauzo nk
Karibu CR7 Chelsea na sisi tuingie kwenye rekodi ya kuwa na GOAT wa karne hii
 
Cristiano Ronaldo hasara yake kubwa Chelsea ni mzigo anaouchukua kwa wiki, ila value alizo nazo ni nyingi sana
  1. Not injury prone
  2. Technically mzuri kwa magoli ya aina zote, guu la kushoto, kulia, kichwa nk
  3. A good leader and motivator kule dressing room
  4. Uzoefu wa kutosha kwa young growing talents
  5. Brand kubwa kwenye soko la fans, mauzo nk
Karibu CR7 Chelsea na sisi tuingie kwenye rekodi ya kuwa na GOAT wa karne hii
Kwa Christians Ronaldo kuja Chelsea sio raisi kabisa Manchester haiwezi kukubali jambo kama hilo fitna yao kwa the blues ni kubwa, hapo ni kujifariji tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom