Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sio kwamba wachezaji hao hapendi Chelsea sababu nikwamba hamuamini mliki mpya anaweza akauua vipaji vyao kwa kutonunua wachezaji wa viwango wengine vyakwao vikafa bure, Chelsea ikawa average team kama Arsenal au Tottenham
Duh hv unawezaje kuua vipaji vya wachezaji w timu Yako Kwa kutokununua wachezaji wa viwango....acheni nadharia wazee
 
Duh hv unawezaje kuua vipaji vya wachezaji w timu Yako Kwa kutokununua wachezaji wa viwango....acheni nadharia wazee
Huyo yuko sawa, kinachomuondoa Ronaldo Man mojawapo ni activities isiyoridhisha ya Man kwenye usajili. Mtu kama Ronaldo umletee matakata anaondoka
Timu ikisajili average players wanakuja ua vipaji vya wachezaji wazuri. Example: Haalnd aje kucheza na wachezaji wa Norwich city, unategemea nini. Hapo city alipoenda ataendelea kucheza competitively kwa sababu timu nzima ni competitive
 
Sababu kuu ya Boehly kukutana na Mendes ilikuwa ni ili awapatie wachezaji wa kuwanunua na ndipo suala la Ronaldo likaingia hapo

Ronaldo nasikia kagoma kuhudhuria mazoezi siku ya kwanza
 
Ndugu zangu siku zimebaki chache kila Siku unasikia dili la mchezaji fulani linakaribia kukamilika lakini siku zinaenda mambo ni same story ninawasiwasi na huyu Tajiri tunaweza tusisajili kabisa kwa Huu mwenendo wetu Tajiri amekuwa na maneno mengi badala ya vitendo angekuwa ni Abramovic Rafidha, Ronaldo,Kounde, sterling tungekuwa teyari biashara zao tunasubiri haiwezekani nazungumzo yanachukua muda mrefu kiasi hichi
 
Mzee Sarri ametupa Milinkovic-Savic ili nasi tumpe Reuben Loftas Cheek na Emerson Palmeri. Hapo vipi
Milinkovic-Savic aba miaka 27, anacheza Kiungo na msimu uliopita alifunga 11 na assists 11
 
Mzee Sarri ametupa Milinkovic-Savic ili nasi tumpe Reuben Loftas Cheek na Emerson Palmeri. Hapo vipi
Milinkovic-Savic aba miaka 27, anacheza Kiungo na msimu uliopita alifunga 11 na assists 11
Kiungo hatari Sana huyu, nitasshangaa akibaki seria A msimu huu
 
Mzee Sarri ametupa Milinkovic-Savic ili nasi tumpe Reuben Loftas Cheek na Emerson Palmeri. Hapo vipi
Milinkovic-Savic aba miaka 27, anacheza Kiungo na msimu uliopita alifunga 11 na assists 11
Tuliwahi kuhusishwa kutaka kumsajili toka kile kipundi mzee Sarri yupo darajani na toka hapo nikaanza kumfuatilia. Ni kiungo mzuri sana ila nawaza huyu mzee kwa nini amtoe hapo amtake RLC na Emerson naanza kuoata majibu target yake ni Emerson lakini pia ana imani kupitia RLC anaweza kumjenga Savic mwingine maana walishafanya kazi pamoja wakatengeneza partner nzuri na Hazard.

Savic ni mzuri ila kwa matatizo tuliyonayo hasa kutokea nyuma hatuwezi kumuacha Emerson
 
Tuliwahi kuhusishwa kutaka kumsajili toka kile kipundi mzee Sarri yupo darajani na toka hapo nikaanza kumfuatilia. Ni kiungo mzuri sana ila nawaza huyu mzee kwa nini amtoe hapo amtake RLC na Emerson naanza kuoata majibu target yake ni Emerson lakini pia ana imani kupitia RLC anaweza kumjenga Savic mwingine maana walishafanya kazi pamoja wakatengeneza partner nzuri na Hazard.

Savic ni mzuri ila kwa matatizo tuliyonayo hasa kutokea nyuma hatuwezi kumuacha Emerson
Milinkovic-Savic ndiye anayetaka kutoka na kama kocha Sarri anataka kutumia fursa hiyo kwa advantage
 
Ndugu zangu siku zimebaki chache kila Siku unasikia dili la mchezaji fulani linakaribia kukamilika lakini siku zinaenda mambo ni same story ninawasiwasi na huyu Tajiri tunaweza tusisajili kabisa kwa Huu mwenendo wetu Tajiri amekuwa na maneno mengi badala ya vitendo angekuwa ni Abramovic Rafidha, Ronaldo,Kounde, sterling tungekuwa teyari biashara zao tunasubiri haiwezekani nazungumzo yanachukua muda mrefu kiasi hichi
Preseason imeanza bila hata usajili mmoja, hii haiashirii mazuri kabisa, bosi anayeogopa kugamble sio bosi mzuri. Pamoja na madhaifu ya huko nyuma lakini Abramovich alikuwa anatake risk
 
Do we real need this person at Chelsea??

1656942699195.png
 
Huyo yuko sawa, kinachomuondoa Ronaldo Man mojawapo ni activities isiyoridhisha ya Man kwenye usajili. Mtu kama Ronaldo umletee matakata anaondoka
Timu ikisajili average players wanakuja ua vipaji vya wachezaji wazuri. Example: Haalnd aje kucheza na wachezaji wa Norwich city, unategemea nini. Hapo city alipoenda ataendelea kucheza competitively kwa sababu timu nzima ni competitive
Aaah sio kweli mkuu huyohuyo Ronaldo alikuwa amezungukwa na kina Sancho, Rashid , Fred, mctominay, Bruno aliyedrop form ...VP alishuka kiwango?...kiwango kitakuwepo Tu Mbona hazard hakushuka kiwango kipindi tupo n kina Drinkwater bakayoko giroud
 
Preseason imeanza bila hata usajili mmoja, hii haiashirii mazuri kabisa, bosi anayeogopa kugamble sio bosi mzuri. Pamoja na madhaifu ya huko nyuma lakini Abramovich alikuwa anatake risk
Pamoja ya kuwa mda bado wa usajiri ila huyu bosi anakatisha tamaa sana mm nilikata tamaa mapema baada ya kuona tetesi zimekuwa nyingi halafu hamna action yoyote kila mchezaji tunahusishwa naye mpaka kero

Ukweli tusiwe na matumaini yoyote ya kufanya vizuri msimu ujao kwa hali ilivyo
 
Issue ya Ronaldo naona imekaaa kibiashara zaidi na sikwa ajili ya project,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom