Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Aliyekuroga hakika amekufa

Dembele anakaribia kubaki Barca na mshahara anapunguza

🚨🎖️| All parties are now optimistic of agreeing to renew Ousmane Dembele’s contract for two years until 2024. The talks are progressing but is not yet 100% agreed. [@FabrizioRomano] #fcblive


🎖| Barcelona want Dembele and Raphinha. [@JacobsBen] #fcblive

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Afadhali kha.
 
Aliyekuroga hakika amekufa

Dembele anakaribia kubaki Barca na mshahara anapunguza

🚨🎖️| All parties are now optimistic of agreeing to renew Ousmane Dembele’s contract for two years until 2024. The talks are progressing but is not yet 100% agreed. [@FabrizioRomano] #fcblive


🎖| Barcelona want Dembele and Raphinha. [@JacobsBen] #fcblive

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hizi news nilipost kitambo kabla ya hizo mpya hujadukua ndg
 
Kwasasa Kama wanabadilika wafatilie , wanaenda kupata wachezaji loyal

Kina Alonso hao wote akili zao Barca.

Lewando hagusiki na timu Nyingine anasubiria Barca tu,

Man u akili imewakaa sawa kwasasa wanasajiri kwa maelekezo ya mwalimu

Changamoto ya Chelsea Kuondoka kwa Marina na Cech Ni pengo ,hawa wanajua vurugu za usajiri

Tajiri wenu ninachoona kwenye usajiri atapigwa Bei kubwa , Mimi siamin De ligt Ni wa £60m , kosa jingine mmeshindwa kumuamin Werner wakati sokon kwasasa hakuna ma CF,

Kuna kila dalili Chelsea ikaanza Ligi bila CF , na Kama CR7 akaenda nje ya epl ,man u pia wataingia epl bila CF ,

Swali Man u watakubali kumuuza CR7 Kwa mpinzan hapo epl ?
Chelsea inao wengi
Havertz, Mount, Pulisic, Werner, Ziyech, Broja, karibia wide wingers wote , false no. 9 na baadhi ya strikers wanacheza CF. Hata Viungo wengi wa kushambulia hiyo no. wanaimudu vizuri
 
Dili Kama hizi mwisho huwa anashinda mchezaji, ndio maana raphina yupo tayari kubak Leeds had hapo Barca watakapotengemaa , na wiki ijayo Barca anauza Tena haki zake ili asajiri kina Alonso, Lewa, Kounde na Raphina

Hawa wachezaji hawagusiki na timu Nyingine akili zao zipo Barca

Ndio maana nawashangaa Chelsea mnavyokomaa na Raphina ,

Arsenal kashajitoa kimya kimya ,

Wachezaji wa hivi hata ukiwapata wanakufanya step stone tu.

Hata halland pale city Ni mpitaji TU ,2024 release clause yake Ni £150m , Madrid anakuja ku trigger , Wala Hana haraka
Man city ni habari nyingine...

Alianza Aguero, tukajua hakuna straight deal kati ya madrid na atletico. Tukaamini Aguero ataitumia City kama njia tu, lakini wapi.
Akaja KDB tukaamini ivyo..

Man city washakua timu kubwa , wanalipa vizuri , and they can challenge titles..

Ni ngumu kujaribu kuitumia kama njia...
 
Namba za wachezaji msimu wa 2022/23
1 - Kepa Arrizabalaga (GK)
3 - Marcos Alonso
5 - Jorginho
6 - Thiago Silva
7 - N'Golo Kante
8 - Mateo Kovacic
10 - Christian Pulisic
11 - Timo Werner
12 - Ruben Loftus-Cheek
13 - Marcus Bettinelli
14 - Trevoh Chalobah
16 - Edouard Mendy (GK)
18 - Ross Barkley
19 - Mason Mount
20 - Callum Hudson-Odoi
21 - Ben Chilwell
22 - Hakim Ziyech
23 - Kenedy
24 - Reece James
27 - Tino Anjorin
28 - Cesar Azpilicueta
29 - Kai Havertz
31 - Nathan Baxter (GK)
33 - Emerson
38 - Dylan Williams
43 - Xavier Mbuyamba
44 - Ethan Ampadu
54 - Xavier Simons
60 - Teddy Sharman Lowe (GK)
64 - Jude Soonsup-Bell
68 - Harvey Vale
71 - Charlie Webster
75 - Lewis Hall

Wasio na namba
  • Conor Gallagher
  • Matt Miazga
  • Baba Rahman
  • Armando Broja
  • Michy Basthuayi

Namba zinazowasubiri wapya
  • 2
  • 4
  • 9
  • 15
  • 17
  • 25
  • 26
  • 30
  • 32
 
Chelsea inao wengi
Havertz, Mount, Pulisic, Werner, Ziyech, Broja, karibia wide wingers wote , false no. 9 na baadhi ya strikers wanacheza CF. Hata Viungo wengi wa kushambulia hiyo no. wanaimudu vizuri
Chelsea bado siioni kwa epl ikipambana na false no.9, labda kwa tournament Kama UCL,FA cup .

Ipo waz hata mwishon mwa Ligi tuliona ,japo Kai Ni mzuri kwa false no.9 na Ndiye anayeaminika Zaid hiyo nafas .

Ziyech na Werner usiwahesabu hasa Ziyech huyu TAARIFA za leo ana 20% ya kubaki Chelsea

Najua mtampata Rahim , lkn Kuna kitu bila CF mtakikosa .

Ukweli Sasa hivi sokon hakuna CF , Kama unacheza na false 9 ,lazima uwe unatengeneza naffas nyingi Sana kila game
 
Chelsea bado siioni kwa epl ikipambana na false no.9, labda kwa tournament Kama UCL,FA cup .

Ipo waz hata mwishon mwa Ligi tuliona ,japo Kai Ni mzuri kwa false no.9 na Ndiye anayeaminika Zaid hiyo nafas .

Ziyech na Werner usiwahesabu hasa Ziyech huyu TAARIFA za leo ana 20% ya kubaki Chelsea

Najua mtampata Rahim , lkn Kuna kitu bila CF mtakikosa .

Ukweli Sasa hivi sokon hakuna CF , Kama unacheza na false 9 ,lazima uwe unatengeneza naffas nyingi Sana kila game
Mbona umeng'ang'ana na CF? Broja yupo, Werner hajaondoka bado, Havertz yupo, Pulisic yupo sisi hatugombei ubingwa mwakani. Hata kuwepo kwenye ligi imekuwa tu bahati, timu ilikuwa iende na maji ya Romano
 
Wamerudi mazoezini kazi iendelee

1656867589802.png


1656867650618.png

1656867667899.png

1656867715872.png
 
Mbona umeng'ang'ana na CF? Broja yupo, Werner hajaondoka bado, Havertz yupo, Pulisic yupo sisi hatugombei ubingwa mwakani. Hata kuwepo kwenye ligi imekuwa tu bahati, timu ilikuwa iende na maji ya Romano
Ok sawa ,nilimsahau broja
 
Nathan Baxter nadhani hana namba nae maana alikuwa Loan Hull city na punde anarudi loan hapo hapo na option ya kununuliwa msimu baada ya loan na ataongeza mkataba na chelsea maana una expire 2023
 
Defence ya muhimu kwanza huku mbele bado dirisha halijafungwa hakuna umuhimu sana ni swala la kushape vizuri foward zetu Borja kai werner Batshuayi pulisic ......Sterling, Raphinna km wakisajiliwa muhimu defence pengo lipo kubwa
 
Hana dharau anataka atimize ndoto zake , asipangiwe maisha
Nidhrau kwanini wakala wake aliongea na chelsea.? Angekataa toka mwanzo. Kiwango chenyewe chakuja kupigwa msasa
 
Nidhrau kwanini wakala wake aliongea na chelsea.? Angekataa toka mwanzo. Kiwango chenyewe chakuja kupigwa msasa
Sio kwamba wachezaji hao hawapendi Chelsea sababu ni kwamba hawamuamini mmliki mpya anaweza akauua vipaji vyao kwa kutonunua wachezaji wa viwango wengine vyakwao vikafa bure, Chelsea ikawa average team kama Arsenal au Tottenham
 
Kumbuka hii kauli ya kutaka kutoka imekuja baada ya Ronaldo kufanya mkutano na Boehly
Pia kumbuka kwamba Boehly anataka kuutangazia ulimwengu wa football kuwa yeye ndie mmiliki mpya wa Chelsea kwa kufanya usajili wenye kupeleka sauti mbali. Mkutano wake na Ronaldo sio zaidi ya wiki haijaisha na Ronaldo anasema anataka kusepa sio coincidence na haijaja kwa bahati mbaya, it is planned. Hongera Todd Boehly
Mkuu alifanya mazungumzo na Jorge Mendes, japo issue ya Ronaldo nayo ilizungumziwa,
 
Nidhrau kwanini wakala wake aliongea na chelsea.? Angekataa toka mwanzo. Kiwango chenyewe chakuja kupigwa msasa
Mpka sasa hiv Deco ajatoa jibu, Inshort media za barce ndio zinafanya influence, kama tetes zingekuwa true mda mrefu tungekuwa tushawithdraw bid yeo,
Jiulize why Deco/Raphinha till now hawajatoa majibu?

We all know media za Barce zinataka tuwithdraw our bid,ili barce wapate urais wa kunegotiate, thus wanatumia kigezo cha Raphinha wants to join Barce, etc
 
Namba za wachezaji msimu wa 2022/23
1 - Kepa Arrizabalaga (GK)
3 - Marcos Alonso
5 - Jorginho
6 - Thiago Silva
7 - N'Golo Kante
8 - Mateo Kovacic
10 - Christian Pulisic
11 - Timo Werner
12 - Ruben Loftus-Cheek
13 - Marcus Bettinelli
14 - Trevoh Chalobah
16 - Edouard Mendy (GK)
18 - Ross Barkley
19 - Mason Mount
20 - Callum Hudson-Odoi
21 - Ben Chilwell
22 - Hakim Ziyech
23 - Kenedy
24 - Reece James
27 - Tino Anjorin
28 - Cesar Azpilicueta
29 - Kai Havertz
31 - Nathan Baxter (GK)
33 - Emerson
38 - Dylan Williams
43 - Xavier Mbuyamba
44 - Ethan Ampadu
54 - Xavier Simons
60 - Teddy Sharman Lowe (GK)
64 - Jude Soonsup-Bell
68 - Harvey Vale
71 - Charlie Webster
75 - Lewis Hall

Wasio na namba
  • Conor Gallagher
  • Matt Miazga
  • Baba Rahman
  • Armando Broja
  • Michy Basthuayi

Namba zinazowasubiri wapya
  • 2
  • 4
  • 9
  • 15
  • 17
  • 25
  • 26
  • 30
  • 32
Namba 9 anakuja kuvaa Broja halafu namba 17 anakuja kuvaa Gallagher
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom