juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Hichi kilikuwa kinategemewa tu, kweny taasisi yeyote ile ujapoinunua lazima mabadiliko ya kiongozi yawepoPetr Cech naye huyo anasepa, sijui Boehly anaunda ufalme upi pale darajani
Cech n Marina walitaka Lukaku aendelee kuwepo msim ujao, Boehly akamfata Tuchel anavyotaka lukaku kuondolewa
Tho wote walipewa nafasi ya kubakia
Ni sawa sawa na na wakat Abramovich anainunua alileta watu wake wakina peter kenyon, or wakat sheikh mansour anainunua City alileta watu wake wakina txiki,soriano


CFC 
