Hapo ndio naposhangaa kwa kipi if ni kuwa back up sawa ila sio kuja kuwa replacement ya rudiHivi TT ameona nini kwa Nathan Ake?
Ndiomaana makocha sometimes wanasajiliwa si kila kocha anakuwa na chaguo sahihi au spotted kuona talented Rafa Benitez alianza kuiharibu Liverpool baada ya signing mbovu alizofanya hiv unadhani bila Abramovic Hazard au osca tungewafaidi?Maana hawa walisajiliwa boss na si kochaHivi TT ameona nini kwa Nathan Ake?
Naijutia Chelsea yangu daah mkuu ngoja tuone lakinHivi TT ameona nini kwa Nathan Ake?
Huko ulaya kuna timu ipi haisapoti ushoga?View attachment 2275737
Mnatangaza ushoga instagram, kwel nyie ni rent boys
Ndicho ambacho mimi nasema. Nje ya sakata la Lukaku kuna jambo lingine linalowaondoa hawa watuWhat if (again just what if) Pter aliona kwenye suala la Lukaka kama amepokwa mamlaka yake? Kwa sababu hatujui mamlaka ya Pter kiasi gani yalipokwa kwenda kwa TT na Petr kuon kama hana haja ya kubakia? Nadhani kuna taarifa hatuna na bila hizo tutabaki na what ifs!
Rudia kusoma nilichoandika. Usikurupeke nduguYeah simply like this...lkn mtu anawaza eti katumwa na waingereza aiharibu timu![]()
Hao Juve watakua watakua wagonjwa wa akili sio bureJuventus are demanding a €70 million (£60.3m) fee plus Timo Werner from Chelsea in exchange for Matthijs De Ligt, according to reports.
An offer of €40m (£34.4m) plus Timo Werner has been submitted by Chelsea but the bid has already been rejected by Juventus.
According to Sky Sport Italia, Juventus have told Chelsea to pay €70m (£60.3m) and include Werner as part of their deal for De Ligt.
Juventus are also prepared to sell De Ligt to Chelsea without including Werner in the deal but are looking for a fee in the region of €100m (£86.4m).
Chelsea, meanwhile, are understood to be confident that they will be able to conclude a deal for the Netherlands international this summer.
Juventus spent £67.5m on signing De Ligt from Ajax in 2019 and the defender still has two years remaining on his contract with the Italian club.
When asked about his future earlier this month, De Ligt said: ‘There are ongoing conversations between me and Juventus.
View attachment 2275326View attachment 2275329
Mara Dembele,TT sahivi hata simwelewi ameingiwa na nn!Hivi TT ameona nini kwa Nathan Ake?
Hawa ndio wachezaji wa kuwachukua, sio kina Dembele kha!Chelsea now in talks with Raphinha over personal terms, which are not expected to be an issue.
- @Matt_Law_DT
Angalau sasa furaha inaanza kujaDeal la Raphinha linakaribia kukamilika, kilichobaki ni makubaliano ya Raphinha na chelsea
Huyo jamaa amenichekesha. Sijui amewaza niniYeah simply like this...lkn mtu anawaza eti katumwa na waingereza aiharibu timu![]()
Sipingani na mawazo yenu kwa sababu tunatofautiana uwezo wa kureason ila napata ukakasi unaposhikiria sentensi moja badala kuangalia the whole general reason nilikua namaanisha nini.Huyo jamaa amenichekesha. Sijui amewaza nini