Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sikuamini yale mauzo ya akina Tomori kuwapeleka kwa mkopo akina Gilmour et al. Siamini kama tuna timu mbovu. Tuna wachezaji wazuri tu. Tunahitaji ku cover some gaps ili kuwawezesha hawa tulio nao waweze kuwika. Andrey Shevchenko aliwika Italy kwa sababu alikuwa na watu kama Andrea Pirlo. Akaja Chelsea akakosa watu kama Pirlo akaonekana ka flop.

Hawa wachezaji ambao leo wanapigwa madongo wanaweza kuwashangaza wengi msimu ujao kama gaps tulizo nazo zitakuwa covered.

Tusubiri tuone!
Ndio ukweli huo chelsea ina wachezaji wazuri ila ni aina ya makocha na mifumo yao ndio tatizo inayofanya wachezaji kuwa flop
 
Mi nasikia tetesi kila siku mara jesus huku sterling sijui dembele halafu hamna action yoyote hivi huyu Todd yupo serious kweli na timu yetu ukizingatia wachezaji wetu muhimu wameondoka free na hakuna replacement yoyote hadi now

Naanza kuwa na wasiwasi na huyu tajiri hawa wamarekani wapigaji sio bure maana wenzetu wanaimarisha sehemu muhimu sie tumejawa na tetesi tu
 
umebadilika tena Mzee si umesema huoni dembele akiwazidi hao uliowataja kwamba pulisic, Werner, sijui n odoi... Stats za dembele zimeshatumwa na mdau hapo
Tofauti yake ni ipi angalau kwa miaka mitatu iliyopita
 
Embu tupe list ya world class player walio sokoni chelsea inaweza kuwapata maana hawa wachezaji tuliokuwa nao ambao mnaona hawafai tukiwauza kwengine basi ni mwiba kwetu
Hao wanajulikana na timu za Liver, Real Madrid, PSG ndio wanaowaona, Chelsea tunasajili kwa mhemko kama wa Manure
 
Mi nasikia tetesi kila siku mara jesus huku sterling sijui dembele halafu hamna action yoyote hivi huyu Todd yupo serious kweli na timu yetu ukizingatia wachezaji wetu muhimu wameondoka free na hakuna replacement yoyote hadi now

Naanza kuwa na wasiwasi na huyu tajiri hawa wamarekani wapigaji sio bure maana wenzetu wanaimarisha sehemu muhimu sie tumejawa na tetesi tu
Tulia, ndo kwanza dirisha la usajili lina siku 12 nadhani, mambo yatakaa sawa.
 
Hongereni chelsea
Screenshot_2022-06-12-22-35-26-249_com.facebook.katana.jpg
 
Edouard Mendy - £52,000-a-week
Reece James - £58,000-a-week
Mason Mount - £88,000-a-week

Timo Werner - £270,000-a-week
Romelu Lukaku - £325,000 a week
 
Mi nasikia tetesi kila siku mara jesus huku sterling sijui dembele halafu hamna action yoyote hivi huyu Todd yupo serious kweli na timu yetu ukizingatia wachezaji wetu muhimu wameondoka free na hakuna replacement yoyote hadi now

Naanza kuwa na wasiwasi na huyu tajiri hawa wamarekani wapigaji sio bure maana wenzetu wanaimarisha sehemu muhimu sie tumejawa na tetesi tu
Chelsea siku zote naona wapo slow Sana kwenye usajili hata baadhi ya misimu ya nyuma chini ya umiliki WA Roman abrahamovic Mwendo umekuwa hvyohvyo ...angalau msimu ule WA pili wa lampard ndo Niliona Chelsea walikuwa fast kwenye usajili....kuna misimu tunakamilisha sajili dakika z mwsho km ule WA kepa na kovacic kuja Kwa mkopo...
 
Chelsea siku zote naona wapo slow Sana kwenye usajili hata baadhi ya misimu ya nyuma chini ya umiliki WA Roman abrahamovic Mwendo umekuwa hvyohvyo ...angalau msimu ule WA pili wa lampard ndo Niliona Chelsea walikuwa fast kwenye usajili....kuna misimu tunakamilisha sajili dakika z mwsho km ule WA kepa na kovacic kuja Kwa mkopo...
Usajil ufanyike mapema ila kocha anapoanza pre season anapanga mipango yake vizur, wachezaji wanakuja wanakuta ligi imeeshaanza tayr
 
Obi Mikel anasema Lukaku kaflop kwa sababu ligi ya England inahitaji nguvu na kasi kubwa tofauti na ligi ya Italia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom