Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mwanzoni nilikuwa simuamini sana Ousmane Dembele lakini baada ya kufuatilia kwa ukaribu style yake ya uchezaji na pace yake na speed yake na uwezo wake wa kupiga cross atasababisha sana Lukaku afunge magoli mengi, why, ni mchezaji mwenye mentality ya kushambulia. few back and sideways passes. Tukimpata huyu akacheza kama mshambuliaji wa upande wa kulia as a winger au kiungo mshabuliaji na acheze Werner katikati Mount.Usajili mwingi tuelekeze kwenye mabekiView attachment 2230595
Werner anampango WA kuondoka summer transfer ijayo
 
Yaan penalty hatunaga bahati nazo aisee...tushapoteza chance ya makombe ma3 so far niliyoona Kwa kukosea kwenye penalty ikiwemo z carabao n FA
9
Yaan penalty hatunaga bahati nazo aisee...tushapoteza chance ya makombe ma3 so far niliyoona Kwa kukosea kwenye penalty ikiwemo z carabao n FA
Penalties zilitupa Uefa ya kwanza kwa Munich sema makapten wetu na penalty aisee tabu tupu. Juzi wakwanza kukosa ni capten
 
hii team inamiaka kum ya kujipanga ili iwe bora naona huyu boss mpya anamikosi kinoma noma hata tusaidia kwa lolote
 
--------- Werner --- Kai ----- Raphinha ------------

Chilwell --- Tchouameni --- Neves --- James

----- Kounde ----- Marquinhos ---Skriniar-----
Huyo skriniar hata hajahusishwa. Mabeki wanaohusishwa NI kounde, kimpembe,Jose gimenez, josko gvardiol,koulibaly....hata neves naye hahusishwi ..Jana kuna habari nyingine ya kuitajika milinkovic savic ...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom