Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,165
- 5,621
Magugu ni mimea inayoota mahali isipotakiwa...Unaongea usichokijua na uhakika nenda playstore andika SME UTANIELEWA
Magugu ni mimea inayoota mahali isipotakiwa...Unaongea usichokijua na uhakika nenda playstore andika SME UTANIELEWA
Huyu kwenye vitabu vya profit and loss tushaandika LOSS. FAILED BUSINESSHuyu Captain Amerikano boya kweli
NakubaliMagugu ni mimea ni mimea inayoota mahali isipotakiwa...
Kama navyosema Pulisic yuko kibiashara zaidi hasa hasa kwa soko la USA, ila kwa uwanjani ni failed projectHuyu kwenye vitabu vya profit and loss tushaandika LOSS. FAILED BUSINESS
Sisi huwa tunapenda kutolea mifano Liver na Man City jinsi wanavyo dominate soka la EPL na Europe lakini tunasahau iliwachukua muda gani kufika pale. Kikosi alicho anza nacho Klopp kwa zaidi ya asilimia 95 hawakuwepo baada ya miaka 3 baada yahapo ikaja kazi ya kujenga timu ndio ikaja hatua ya makombe na dominance sasa wakati wote ilihitaji Time, Money, Patience(uvumilivu kwa kocha na wachezaji)CHELSEA FC MSIMU 21/22
Nafasi ya 3 - EPL
Fainali - CARABAO
Fainali - FA
Robo Fainali - UCL
Mafanikio makubwa ya timu kwa msimu yanapimwa kwa makombe, kwa hatua tulizofikia msimu huu zimeakisi tofauti kidogo ya ubora wa kikosi chetu vs CITY na LIVER.
TT amesema kwenye dirisha la usajili THE BLUES tuna rebuild kikosi na sio kuimprove kikosi.
Kwa sababu wachezaji wetu wengi wanaondoka hivyo tunajenga kikosi na sio kuboresha kikosi kuongeza mchezaji 1 au 2 kama wanavyofanya LIVER na CITY
Swali:- Ingizo la wachezaji wengi kikosini kutaongeza kasi ya kucover gap la ubora kati yetu na CITY na LIVER?
Au kutapunguza kasi ya kuwafikia wakati TT anajenga mifumo mpya, style za uchezaji na pia wachezaji wapya kuzoeana kwanza?
Rudger - OUT
Alonso - OUT
Christensen - OUT
Azplicueta - OUT
Jognho - OUT
Werner - OUT
Pulisic - OUT
Barkely - OUT
Drinking Water - OUT
Sarr - Mkopo
Cheek - Mkopo
---------------------------------------------------------
WANAOBAKI
Thiago - Mbadala/ Umri
Kante - Mbadala/Umri/Uchovu
Mm ni Brentford unanikumbuka lkn cheltako nilichokufanyaHivi wewe ni aseno au nyumbu au liverpuru..?
Ututolee huo wizi hapa, sisi tuko na mpira, peleka kule FB ndio kuna watoto wachanga wa kudanganywa kirahisiUnaongea usichokijua na uhakika nenda playstore andika SME UTANIELEWA
Mkuu City 3yrs na Liver 4 yrs sisi tuko mwaka wa 5 bado tunajenga timu huku tumebadilisha makocha watatu, Sarri, Lampard na sasa Tuchel. Lazima twende kwa kasi. Tulipotea pale tulipoacha kumwamini kocha na kuanza kuwachagulia matakataka yasiyoendana na mfumo wake. Mfano kuwaleta wachezaji kama akina Drinkwater, Bakayoko, Malang Sarr ili kocha aje kuwatumia na kubeba vikombeSisi huwa tunapenda kutolea mifano Liver na Man City jinsi wanavyo dominate soka la EPL na Europe lakini tunasahau iliwachukua muda gani kufika pale. Kikosi alicho anza nacho Klopp kwa zaidi ya asilimia 95 hawakuwepo baada ya miaka 3 baada yahapo ikaja kazi ya kujenga timu ndio ikaja hatua ya makombe na dominance sasa wakati wote ilihitaji Time, Money, Patience(uvumilivu kwa kocha na wachezaji)
Imani yangu ni kubwa kwa TT naamini atatufikusha mbali kama na sisi tutampa muda kuijenga timu kama alivyosema. Hakuna kitu kinaharibu timu kama key players kuondoka (Rudiger, Cesar, Christensen) halafu hapo ulikua unapanga uanze kurekebisha maeneo mengine inabidi kuweka nguvu tena kwenye usajili wa backline.
Muhimu tuendelee kula mtoru nyama zipo chini.
Hapo nimeshasema hao City na Liver walikua wavumilivu ndio wanapata hayo matokeo. Sisi uvumilivu hatuna ndio maana ni miaka mitano tunajenga timu kama Tuchel akaachwa ajenge kwa kupewa anavyovihitaji tunaweza kuwa kwenye mwendo mzuri. Huwezi kujenga timu kwa kubadili makocha kila msimuMkuu City 3yrs na Liver 4 yrs sisi tuko mwaka wa 5 bado tunajenga timu huku tumebadilisha makocha watatu, Sarri, Lampard na sasa Tuchel. Lazima twende kwa kasi. Tulipotea pale tulipoacha kumwamini kocha na kuanza kuwachagulia matakataka yasiyoendana na mfumo wake. Mfano kuwaleta wachezaji kama akina Drinkwater, Bakayoko, Malang Sarr ili kocha aje kuwatumia na kubeba vikombe
So sad, Natumaini mmiliki mpya atakuwa bega kwa bega na kocha katika kuijenga squad
Klopp kaja Oct 2015, nimeweka mafanikio yake vs Chelsea kwa muda huo wa misimu 7Ukiondoa kuja kwa klopp umetizidi nn kwenye EPL kwa miaka 10 tu. 🚮🚮🚮
Abramovich hayupo tena tuwape wamiliki wapya nafasi tutaona mabadilikoHuyu kocha kazi anaiweza ila utashangaa inafika mwezi Nov hatupati matokeo anatimuliwa. Sasa hapo utajenga vipi timu?
Kwa kocha kama Lampard mi nadhani tulikua tunajitafuta na sio kwamba tungeweza kufanya makubwa chini yake. Ila mtu kama Sarri au Tuchel hao ndio wanaonyesha wanaweza kujenga timuView attachment 2231604
Ila pia ujue kuwa sio kila kocha ukimuacha ataleta mafanikio hata ndani ya 10 yrs, kutovumilia ndiko ilikotuletea makombe, mfano UCL tungeisikia redioni tu kama asingefukuzwa LampardHapo nimeshasema hao City na Liver walikua wavumilivu ndio wanapata hayo matokeo. Sisi uvumilivu hatuna ndio maana ni miaka mitano tunajenga timu kama Tuchel akaachwa ajenge kwa kupewa anavyovihitaji tunaweza kuwa kwenye mwendo mzuri. Huwezi kujenga timu kwa kubadili makocha kila msimu
Jiandae msimu ujao kurudi ulikotoka, umeingia choo cha kikeMm ni Brentford unanikumbuka lkn cheltako nilichokufanya
Yeah ndio maana nikasema kwa mtu kamLampard tulikua tunajitafuta tu. Huyu Tuchel kazi anaiweza kabisaIla pia ujue kuwa sio kila kocha ukimuacha ataleta mafanikio hata ndani ya 10 yrs, kutovumilia ndiko ilikotuletea makombe, mfano UCL tungeisikia redioni tu kama asingefukuzwa Lampard
ACHA UJUAJI NAKUONA SANA KILA COMMENT KIMBELEMBELE ,IPO SIKU YAKO MPU.ZUtutolee huo wizi hapa, sisi tuko na mpira, peleka kule FB ndio kuna watoto wachanga wa kudanganywa kirahisi
Kuna conte hapo aliyekuja, msim wake wa pili tukamletea wakina bakayoko,morata nk,Mkuu City 3yrs na Liver 4 yrs sisi tuko mwaka wa 5 bado tunajenga timu huku tumebadilisha makocha watatu, Sarri, Lampard na sasa Tuchel. Lazima twende kwa kasi. Tulipotea pale tulipoacha kumwamini kocha na kuanza kuwachagulia matakataka yasiyoendana na mfumo wake. Mfano kuwaleta wachezaji kama akina Drinkwater, Bakayoko, Malang Sarr ili kocha aje kuwatumia na kubeba vikombe
So sad, Natumaini mmiliki mpya atakuwa bega kwa bega na kocha katika kuijenga squad
Conte angeendelea kupata mda angeepata epl nyingin----------------------------------------------------------------------
GHARAMA YA USAJILI VS MAKOMBE EPL
----------------------------------------------------------------------
A:- MANCHESTER CITY (Miaka 5 iliyopita)
TOTAL BUDGET USAJILI - €862.41M
EPL Makombe 3
-----------------------------------------------------------------
B:- CHELSEA FC (Miaka 5 iliyopita)
TOTAL BUDGET USAJILI - €879.5M
EPL kombe 0
-----------------------------------------------------------------
C:- LIVERPOOL FC (Miaka 5 iliyopita)
TOTAL BUDGET USAJILI - €539.13M
EPL KOMBE 1
-----------------------------------------------------------------
Ukiangalia Miaka 5 iliyopita THE BLUES tumetumia pesa nyingi ya usajili kuliko CITY na LIVER lakini miaka hiyo 5 tumeshindwa kumaliza angalau TOP 2 - EPL
Sababu 1:- Inawezekana ni timua timua ya makocha, hawakupata muda wa kujenga vikosi vyao.
Sababu 2:- Inawezekana miaka 5 iliyopita hatukufanya sajili nzuri, za kimkakati, sajili zilikuwa kachumbari kwa maana mahitaji ya makocha tofauti tofauti ambao hawakudumu.
Tunasahau pia kuwa usajili wa kocha ni muhimu. katika miaka mitano kutopata kombe sababu kuu sio timua timua ya makocha, ila usajili wa kocha haukuwa mzuri kama ilivyokuwa kwa wachezaji. City na Liver walisha sajili wachezaji wazuri na kocha walichofanya next five years ni kuziba viraka tu----------------------------------------------------------------------
GHARAMA YA USAJILI VS MAKOMBE EPL
----------------------------------------------------------------------
A:- MANCHESTER CITY (Miaka 5 iliyopita)
TOTAL BUDGET USAJILI - €862.41M
EPL Makombe 3
-----------------------------------------------------------------
B:- CHELSEA FC (Miaka 5 iliyopita)
TOTAL BUDGET USAJILI - €879.5M
EPL kombe 0
-----------------------------------------------------------------
C:- LIVERPOOL FC (Miaka 5 iliyopita)
TOTAL BUDGET USAJILI - €539.13M
EPL KOMBE 1
-----------------------------------------------------------------
Ukiangalia Miaka 5 iliyopita THE BLUES tumetumia pesa nyingi ya usajili kuliko CITY na LIVER lakini miaka hiyo 5 tumeshindwa kumaliza angalau TOP 2 - EPL
Sababu 1:- Inawezekana ni timua timua ya makocha, hawakupata muda wa kujenga vikosi vyao.
Sababu 2:- Inawezekana miaka 5 iliyopita hatukufanya sajili nzuri, za kimkakati, sajili zilikuwa kachumbari kwa maana mahitaji ya makocha tofauti tofauti ambao hawakudumu.