OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Wamepakuliwa viwili ukoNipeni updates za arsenal wakuu
Wamepakuliwa viwili ukoNipeni updates za arsenal wakuu
Daah cjajua ila kwakuwa zote n FA bc kama kutakuwa na utofauti bc n mdogo sanaIvi ili kombe walochukua wanawake ...lina thamani sawa na lile walochukua liverkuku?
Chief hata mimi nilidhani hivyo ila sio. Tunahitaji droo moja tu ili tubaki hapo kwenye tatuKwa jinsi msimamo ulivyo. THE BLUES kumaliza nafasi ya 3:-
1. Tunatakiwa tushinde mechi 1 kati ya 2 zilizobaki au
2. Mechi 2 zilizobaki tuDRAW zote.
Tukifungwa mechi zote mbili zilizobaki tutamaliza nafasi ya 4.
HONGERENI THE BLUES KWA KUFUZU UCL MSIMU 22/23.
View attachment 2227641
Sasa ndio muda wa akina Marcus, GK,Xavier Mbuyamba, Sarr, Harvey Val, Bell, Lewis Hall kutambaHizo mechi 2 zilizobaki tutachezesha Academy players, tumeshafuzu UCL.
RUDGER, AZPLICUETA & CHRISTENSEN ruksa kuondoka.
Nasikia WERNER ameuambia uongozi anataka kuondoka.
ALONSO to Barcelona
JOGNHO to Juventus![]()
Mkuu hebu weka heshima kidogo kwa Abraham hata kama humpendi usisahau huyu dogo alifunga goli 15 za PL tena kwa kocha mbovu Lampard. Kadri anavyoenda anazidi kuimarika amini nawaambia ipo siku kila mtu atakuja kukubaliana na mimi hatukustahili kumuuza huyu dogoAbraham bado hataweza kufunga magoli mengi EPL
Ni striker mzuri ila kwa midtable team au timu za Europa kama Arsenal
Kule kwenye ligi legelege kafunga 15 tu
Angekuwa Chelsea kwa staili hii hata 7 asingefikisha
Hakuna timu mbovu above the table kama Westham mwaka huu, hapo sio chini ya goli 4 kwa man city
POLE SANA
Wewe ulipotelea wapi baada ya kubahatisha tule tupenalty moja ndio unakuja hapa kusumbua wanaume
Chelsea yangu bora ni ile ambayo ilianza msimu na kuongoza ligi kabla JAMES na CHILWELL kuumia.
JAMES na CHILWELL waliongeza nguvu kubwa sana kwenye ushambuliaji, ndio maana wakati ule Chilwell, James na Azpi walifunga magoli mengi kuliko washambuliaji wetu kule mbele.
James na Chilwell walivyopata injuries + Corona + injuries za wachezaji wengine + uchovu, timu ilipitia wakati mgumu sana kiushindani, mwisho kitu kizito kikatua kichwani baada ya Roman kutangaza anauza timu + vikwazo
Pamoja na changamoto zote hizo tumejitahidi kufika fainali mbili mfulilizo (CARABAO + FA), tunapambana kumaliza TOP 4. HONGERENI SANA
Binafsi naamini safu ya USHAMBULIAJI + KIUNGO imetuangusha sana msimu huu. Safu ya ULINZI nitailaumu kwa mistake ndogo ndogo ambazo utaziona kwa kuwa tulishindwa kufunga magoli mengi.
Kama msimu ujao tutaenda na viungo na washambuliaji hawa hawa tusahau kuchukua kombe la EPL mbele ya LIVER na CITY. TUSAHAU KABISA.
Ili kuboresha viwango vya wachezaji waliopo ni kuingiza maingizo mapya yenye ubunifu/uwezo mkubwa, nguvu na kasi.
Pale mbele tukipata winga 1 yenye uwezo wa kuassists 10+ na kufunga magoli 10+ anaweza kuwaamsha usingizini Kai, Werner na Lukaku. Winga mpya anaweza leta muunganiko flani ambao unakosekana kwa sasa.
Pale katikati tukipata kiungo mmoja mkabaji haswa, Kovacic na Kante wataoperate vizuri sana very comfortable. Jog, Saul & cheek watupishe.
Pale nyuma usajili wa mabeki sio chini ya watatu.
Kuna blanket la kocha TT tumejifunika nalo hatuoni nje, tunaona kwamba kwa sasa tunao wachezaji wazuri sana ila hawajitumi au viwango vimeshuka.
TUNAJIDANGANYA SANA, WACHEZAJI WETU WENGI WANA VIWANGO VYA KAWAIDA SANA.
Jiulize swali ni wachezaji wangapi wa THE BLUES wanapata namba kikosi cha CITY au LIVER?
Ile safu yetu ya ushambuliaji kule mbele hakuna mchezaji hata mmoja mwenye uwezo wa kuingia kwenye kikosi cha CITY au LIVER achilia mbali viungo na mabeki.
TUJENGENI TIMU YETU
#Pride of London
Sarr muondoe kwenye hiyo list huyu mchezaji ndio anatakiwa awe wa kwanza kuondoka kwenye team yetuSasa ndio muda wa akina Marcus, GK,Xavier Mbuyamba, Sarr, Harvey Val, Bell, Lewis Hall kutamba
Hiyo list ni ya kumalizia msimu baada ya Chelsea kujihakikishia top 4, soma mwanzoni mleta mada alivyoandikaSarr muondoe kwenye hiyo list huyu mchezaji ndio anatakiwa awe wa kwanza kuondoka kwenye team yetu
Wewe umekuwa Marina sasa uanweza ukapata wachezaji wazuri watano hata kwa chini ya mil 200Kulingana na Mchanganuo wako Chelsea inahitaji £500M kuyafikia haya uliyoyazungumza.
Sasa Imagine tajiri atoe mpunga mrefu kuinunua Timu then at the same season atoe £500M za usajili.
#Impossible
Najua, huyo mtu sitaki hata apewe hiyo nafasiHiyo list ni ya kumalizia msimu baada ya Chelsea kujihakikishia top 4, soma mwanzoni mleta mada alivyoandika
Jamaa anakimbiaga kifua kakipeleka mbele. Hahahahaha....Najua, huyo mtu sitaki hata apewe hiyo nafasi
🤣🤣🤣🤣🤣Jamaa anakimbiaga kifua kakipeleka mbele. Hahahahaha....
Christopher Nkunku ana miaka 24 tu ana magoli 34 nachezea RB Leipzig ka forward, Ndie mchezaji bora wa mwaka wa Bundesliga, anauzwa paundi mil 60
hapo vipi
Tuwape WernerChristopher Nkunku ana miaka 24 tu ana magoli 34 nachezea RB Leipzig ka forward, Ndie mchezaji bora wa mwaka wa Bundesliga, anauzwa paundi mil 60
hapo vipi