Tammy Abraham anaweza kuwapita Pulisic, Werner na Havertz kwenye ufungaji ila uchezaji wake ni tofauti kabisa
Tammy anafunga magoli kwa kujenga kwenye makosa wanayofanya mabeki
Jana nilicheki mwanzo mwisho kwenye mechi kati ya AS Roma na Torino
Mistakes mbili walizofanya Torino ilimpa Tammy fursa ya kufunga bila makosa
Tammy pia anahangaika kutafuta magoli tofauti na Pulisic na Havertz hata na Lukaku
Labda kwa vile yeye ni natural striker while Pulisic na Havertz na Werner sio natural no. 9
Tammy sio agressive kama Lukaku
Lukaku ni agressive ila anakuwa static golini ndio maana hafungi
Tammy Abraham anaangaika sana golini kutafuta spaces ili afunge ila hana stamina ya kufight kwenye mipira kwenye tight environemnets
SO baada ya kusema hayo bado Abraham hatufai, anaweza akafaa kwa midtable teams na ndio maana timu zinazomzungumzia Abrahama huwezi kuta City, Liverpool wanamzungumzia badala yake Arsenal, Atalanta, Manure