Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,850
- 16,335
We AsaniAli nenda kachambue maharage.Chambuzi la nyumbu![]()
Nasikia mnamsajili Makwinyoz kwa dau la €3m




We AsaniAli nenda kachambue maharage.Chambuzi la nyumbu![]()




Kabisa kombe ni laoAsaniAli huyo asikupe shida kabisa.
Uingereza hamna fainali inayonoga zaidi ya Chelsea vs Liverpool.
Hizi timu 2 viwango vyao vinafanana hivyo wakikutana lazima nyasi zipate tabu mpaka dakika ya 120.
Ila Pulisic na Diaz leo wamekosa magoli mengi ya wazi.
Lukaku kuachwa acheze kwa dakika 80 ilikua ni matumizi mabaya ya forward, ilitakiwa mwanzo mwanzo tu wa kipindi cha pili atoke halafu aingie Warner.
Chelsea bado nasimama na nyinyi hili kombe ni lenu.
Umewapa moyo sana uwalipe sasaUsiwe na wasiwasi leo lazima mbebe ndoo.
Umewapa moyo sana uwalipe sasa


The Blauz ndio walipaswa wanilipe kwa kuamsha molari. Kama kawaida yakeMpira wenyewe umeangalizia livescore unakuja kubwabwaja utumbo huku jf![]()





DahDua zetu zi pamoja nanyi.
jamaa ulipambana nao sana ila waaaapiThomas Tuchel on Timo Werner:Werner na Lukaku ni wazuri kwa penalti hawakuandaliwa. Tactically TT bado sana ukimlinganisha na Klopp na PEP
Mount hajawahi kuwa mzuri kwa penalti. Generally TT alijiandaa kwa ushindi wa uwanjani ila kwa penalti hajafanya maandalizi
Werner aliumia wakati wa warm up, au mlitaka aingie hivyo hivyo na majeruhi, kwa jinsi liver walivyokuwa wanacheza werner angekuwa mzima angecheza tu kulikuwa hakuna optionAlifanya sub ambazo hazina macho kabisa nilitegemea alivyotoka pulisic angeingia Werner
433 ni nzuri n inamuhitaj dm mzuri sion kama declan rice ni mzuri kama dm naona kama ni box to box zaidiSquad ya Chelsea ina quality ila imeshindwa kuadapt Tuchel's tactics, so timu inakosa balance & at times timu inalose form, Chelsea squad inafit vizuri wakicheza 433 kutokana na profile walizonazo but wanakosa DM (an orchestra) kama Declan Rice, taarifa zinaonesha chelsea wanamtrack Sangare.
Bingwa wa nini labda?Leo Tunashinda ngapi wazee..
Leo sisi ni mabingwa.
Umeshawageuka sio?Kusanyeni vilago mkaanze msimu na zero trophies
Ubingwa gani anawapa? Jitahidi tu kufunga magoli mengi, maana hatuwezi kufungwa game mbili mfululizoQuadruple baby!
Na leo rasmi Westham anatupa EPL
Chelsea yangu bora ni ile ambayo ilianza msimu na kuongoza ligi kabla JAMES na CHILWELL kuumia.
JAMES na CHILWELL waliongeza nguvu kubwa sana kwenye ushambuliaji, ndio maana wakati ule Chilwell, James na Azpi walifunga magoli mengi kuliko washambuliaji wetu kule mbele.
James na Chilwell walivyopata injuries + Corona + injuries za wachezaji wengine + uchovu, timu ilipitia wakati mgumu sana kiushindani, mwisho kitu kizito kikatua kichwani baada ya Roman kutangaza anauza timu + vikwazo
Pamoja na changamoto zote hizo tumejitahidi kufika fainali mbili mfulilizo (CARABAO + FA), tunapambana kumaliza TOP 4. HONGERENI SANA
Binafsi naamini safu ya USHAMBULIAJI + KIUNGO imetuangusha sana msimu huu. Safu ya ULINZI nitailaumu kwa mistake ndogo ndogo ambazo utaziona kwa kuwa tulishindwa kufunga magoli mengi.
Kama msimu ujao tutaenda na viungo na washambuliaji hawa hawa tusahau kuchukua kombe la EPL mbele ya LIVER na CITY. TUSAHAU KABISA.
Ili kuboresha viwango vya wachezaji waliopo ni kuingiza maingizo mapya yenye ubunifu/uwezo mkubwa, nguvu na kasi.
Pale mbele tukipata winga 1 yenye uwezo wa kuassists 10+ na kufunga magoli 10+ anaweza kuwaamsha usingizini Kai, Werner na Lukaku. Anaweza leta muunganiko flani ambao unakosekana kwa sasa.
Pale katikati tukipata kiungo mmoja mkabaji haswa, Kovacic na Kante wataoperate vizuri sana very comfortable. Jog, Saul & cheek watupishe.
Pale nyuma usajili wa mabeki sio chini ya watatu.
Kuna blanket la kocha TT tumejifunika hatuoni nje, tunaona kwamba kwa sasa tunao wachezaji wazuri sana ila hawajitumi au viwango vimeshuka.
TUNAJIDANGANYA SANA, WACHEZAJI WETU WENGI WANA VIWANGO VYA KAWAIDA SANA.
Jiulize swali ni wachezaji wangapi wa THE BLUES wanapata namba kikosi cha CITY au LIVER?
Ile safu yetu ya ushambuliaji kule mbele hakuna mchezaji hata mmoja mwenye uwezo wa kuingia kwenye kikosi cha CITY au LIVER achilia mbali viungo na mabeki.
#Pride of London
Chelsea sio kwamba ina wachezaji wabaya hilo nakataa ila ni mfumo wa kocha ndio kikwazo cha baadhi ya wachezaji kuonekana wabovuChelsea yangu bora ni ile ambayo ilianza msimu na kuongoza ligi kabla JAMES na CHILWELL kuumia.
JAMES na CHILWELL waliongeza nguvu kubwa sana kwenye ushambuliaji, ndio maana wakati ule Chilwell, James na Azpi walifunga magoli mengi kuliko washambuliaji wetu kule mbele.
James na Chilwell walivyopata injuries + Corona + injuries za wachezaji wengine + uchovu, timu ilipitia wakati mgumu sana kiushindani, mwisho kitu kizito kikatua kichwani baada ya Roman kutangaza anauza timu + vikwazo
Pamoja na changamoto zote hizo tumejitahidi kufika fainali mbili mfulilizo (CARABAO + FA), tunapambana kumaliza TOP 4. HONGERENI SANA
Binafsi naamini safu ya USHAMBULIAJI + KIUNGO imetuangusha sana msimu huu. Safu ya ULINZI nitailaumu kwa mistake ndogo ndogo ambazo utaziona kwa kuwa tulishindwa kufunga magoli mengi.
Kama msimu ujao tutaenda na viungo na washambuliaji hawa hawa tusahau kuchukua kombe la EPL mbele ya LIVER na CITY. TUSAHAU KABISA.
Ili kuboresha viwango vya wachezaji waliopo ni kuingiza maingizo mapya yenye ubunifu/uwezo mkubwa, nguvu na kasi.
Pale mbele tukipata winga 1 yenye uwezo wa kuassists 10+ na kufunga magoli 10+ anaweza kuwaamsha usingizini Kai, Werner na Lukaku. Winga mpya anaweza leta muunganiko flani ambao unakosekana kwa sasa.
Pale katikati tukipata kiungo mmoja mkabaji haswa, Kovacic na Kante wataoperate vizuri sana very comfortable. Jog, Saul & cheek watupishe.
Pale nyuma usajili wa mabeki sio chini ya watatu.
Kuna blanket la kocha TT tumejifunika nalo hatuoni nje, tunaona kwamba kwa sasa tunao wachezaji wazuri sana ila hawajitumi au viwango vimeshuka.
TUNAJIDANGANYA SANA, WACHEZAJI WETU WENGI WANA VIWANGO VYA KAWAIDA SANA.
Jiulize swali ni wachezaji wangapi wa THE BLUES wanapata namba kikosi cha CITY au LIVER?
Ile safu yetu ya ushambuliaji kule mbele hakuna mchezaji hata mmoja mwenye uwezo wa kuingia kwenye kikosi cha CITY au LIVER achilia mbali viungo na mabeki.
TUJENGENI TIMU YETU
#Pride of London
Hata wakat wa lamps wachezaj wengi hawana consistenc katika performanc zao wanaweza chez 3-4 vizur ila baada ha mda wakapotea mazimaChelsea sio kwamba ina wachezaji wabaya hilo nakataa ila ni mfumo wa kocha ndio kikwazo cha baadhi ya wachezaji kuonekana wabovu
Kama chelsea inamuhitaji zaidi Tuchel basi impe wachezaji watakaoendana na mfumo wake ambapo wakishindwa kupaform lawama ziwe juu yake
Hawa wachezaji walio Chelsea ambao mnaona wabovu wakienda timu nyingine watakuwa bora zaidi ya hapa nafikiri mifano mnayo Abraham aliyekuwa chelsea mbovu Roma kule ana goli zaidi ya 25
Hata kama tunataka kusajiri viungo lakini mjue jorginho bado atabaki kuwa kiungo bora umuhimu wake ni mkubwa tofauti na kante pamoja na kova ambao hamna msaada mkubwa waliotupa msimu huu