ryana fan
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 2,632
- 3,063
Wapumbavu nyie Guardiola alistahili kucheza hii final mmetupotezea muda Fuc****
Sawa sisi wapumbavu wewe ulishindwa nini kucheza mkuu?
Wapumbavu nyie Guardiola alistahili kucheza hii final mmetupotezea muda Fuc****
Cheltako nyie ni waseng........e
Kama unaishi na shabiki wa Chelsea jitahidi kuweka mbali vifaa kama mikanda, earphones, kamba ndefu, mashuka, n.k.
Mara ya pili mnapoteza kwa penalty mapopoma nyieIla nyie ni wesenge zaidi
Mse…. Mwenyewe 😂😂😂😂Cheltako nyie ni waseng........e
Penalty haina mwenyeweMara ya pili mnapoteza kwa penalty mapopoma nyie
Ahsante kipenzi 🥰
Weee ebu kamwagilie moyo na🍷Ahsante kipenzi 🥰
Inauma ila 😩
Nyumbu umewaletea balaa Chelsea.AsaniAli huyo asikupe shida kabisa.
Uingereza hamna fainali inayonoga zaidi ya Chelsea vs Liverpool.
Hizi timu 2 viwango vyao vinafanana hivyo wakikutana lazima nyasi zipate tabu mpaka dakika ya 120.
Ila Pulisic na Diaz leo wamekosa magoli mengi ya wazi.
Lukaku kuachwa acheze kwa dakika 80 ilikua ni matumizi mabaya ya forward, ilitakiwa mwanzo mwanzo tu wa kipindi cha pili atoke halafu aingie Warner.
Chelsea bado nasimama na nyinyi hili kombe ni lenu.
Arsenal is the team with more FA Cups au umesahau bro?wapumbavu wakubwa 3 in a row mna lose ?mmetupotezea mudaSawa sisi wapumbavu wewe ulishindwa nini kucheza mkuu?
Mkuu sikuhiz huna lugha mbaya huu ndio uungwana pole Sana mkuuTumepigwa Tena dah ..huu ni umama
Mara ya pili mnapoteza kwa penalty mapopoma nyie
Arsenal is the team with more FA Cups au umesahau bro?wapumbavu wakubwa 3 in a row mna lose ?mmetupotezea muda
Kama haina mwenyewe mbona wenzenu wanashinda Mara ya pili mfululizo tena dhidi yenuPenalty haina mwenyewe