Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hivi wewe unazo timamu kabisa kweli? anaokicheza wamepata nini mpaka sasa ivi?
AsaniAli huyo asikupe shida kabisa.
Uingereza hamna fainali inayonoga zaidi ya Chelsea vs Liverpool.
Hizi timu 2 viwango vyao vinafanana hivyo wakikutana lazima nyasi zipate tabu mpaka dakika ya 120.
Ila Pulisic na Diaz leo wamekosa magoli mengi ya wazi.
Lukaku kuachwa acheze kwa dakika 80 ilikua ni matumizi mabaya ya forward, ilitakiwa mwanzo mwanzo tu wa kipindi cha pili atoke halafu aingie Warner.
Chelsea bado nasimama na nyinyi hili kombe ni lenu.
 
Screenshot_20220514-204553_1652551030581.jpg
 
Wapumbavu wakubwa mmetupotezea muda nyie washenz**** nyie mmestahili kufungwa bora Manchester City vs Liverpool ingekuwa ndio final
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom