Sasa ndiyo huo umeleta weweKwenye official website hawaweki udaku at tetezi ina kua confirmed ndo inawekwa
Umefanya dhambi kubwa sana kuitusi Arsenal Fahari ya LondonAstaghfirullah..
Yan umenitukana tusi kubwa sana umeshindwa kuwataja Fulham, Everton au Newcastle mpaka unitajie huo uchafu? Bro hata hii timu iende wapi usije kudhani kutatokea huo umavi unaouaminisha wewe na wenzako. Blue forever men!!
Wanunuaji wenu wamekopa pesa kwa ajili ya kununua Timu, Ni mkosi mwengine huo Timu inaekwa Rehani.Wakina king ngwaba na wenzake watakalia leki
Acha uongo.Wanunuaji wenu wamekopa pesa kwa ajili ya kununua Timu, Ni mkosi mwengine huo Timu inaekwa Rehani.
Huyu boely Tu anamshinda kwa utajiri tajiri yenuWanunuaji wenu wamekopa pesa kwa ajili ya kununua Timu, Ni mkosi mwengine huo Timu inaekwa Rehani.
Ufahari wake uko wapiUmefanya dhambi kubwa sana kuitusi Arsenal Fahari ya London
Tuchel aliwahi kusema uwezo anaouonesha mazoezi ni balaa anashindwa kuelewa kwenye pitch huwa kinatokea nini?Odoi kaanza mazoezi, tumemiss sana
View attachment 2213823
Arsenal ndiyo Timu ya kwanza kuitambulisha London kimpira.Ufahari wake uko wapi
Tubadilishe isomeka
"AIBU YA LONDON"
Wewe unaongea kitu ambacho akitoki ndani ya moyo wakoArsenal ndiyo Timu ya kwanza kuitambulisha London kimpira.
Nakumbuka kuna mpaka Mtaa huku Tz unaitwa Highbury kwasababu ya Arsenal.
Chelsea ndiyo wamekuja kuifanyia Fraud London mpaka Serikali wanatamani life litimu lenu kwa kuitia Aibu London iliyong'rishwa na Arsenal.
Wewe jamaa ni kigagura kabisaArsenal ndiyo Timu ya kwanza kuitambulisha London kimpira.
Nakumbuka kuna mpaka Mtaa huku Tz unaitwa Highbury kwasababu ya Arsenal.
Chelsea ndiyo wamekuja kuifanyia Fraud London mpaka Serikali wanatamani life litimu lenu kwa kuitia Aibu London iliyong'rishwa na Arsenal.
🤣🤣🤣🤣Wewe jamaa ni kigagura kabisa
We inaelekea ulikuwa Arse kabla ya kuhamia LivakukuArsenal ndiyo Timu ya kwanza kuitambulisha London kimpira.
Nakumbuka kuna mpaka Mtaa huku Tz unaitwa Highbury kwasababu ya Arsenal.
Chelsea ndiyo wamekuja kuifanyia Fraud London mpaka Serikali wanatamani life litimu lenu kwa kuitia Aibu London iliyong'rishwa na Arsenal.
Hata Liverpool St Helens ndio fahari ya Liverpool kwa sababu ndio timu ya kwanza kuitambulisha Liverpool duniani, hii livakuku takataka ya sasa imeiba jina la Liverpool FC kutoka Liverpool Football ClubArsenal ndiyo Timu ya kwanza kuitambulisha London kimpira.
Nakumbuka kuna mpaka Mtaa huku Tz unaitwa Highbury kwasababu ya Arsenal.
Chelsea ndiyo wamekuja kuifanyia Fraud London mpaka Serikali wanatamani life litimu lenu kwa kuitia Aibu London iliyong'rishwa na Arsenal.
ili ujue huyu jamaa ni arsenal kacheki anavochambua arsenal kule kwenye jukwaa lao ,ni lijitu la arsenal sema tu basi kaamua kuvaa jezi ya liverkuku .....!We inaelekea ulikuwa Arse kabla ya kuhamia Livakuku
Naungana na weweili ujue huyu jamaa ni arsenal kacheki anavochambua arsenal kule kwenye jukwaa lao ,ni lijitu la arsenal sema tu basi kaamua kuvaa jezi ya liverkuku .....!
🤣🤣🤣🤣🤣We inaelekea ulikuwa Arse kabla ya kuhamia Livakuku
Naona umejificha Sana hatimaye leo umeona uoneshe rangi yako halisi si useme tu wewe ni mshabiki wa Arsenal kule Liverpool umeenda kumfuata matajiArsenal ndiyo Timu ya kwanza kuitambulisha London kimpira.
Nakumbuka kuna mpaka Mtaa huku Tz unaitwa Highbury kwasababu ya Arsenal.
Chelsea ndiyo wamekuja kuifanyia Fraud London mpaka Serikali wanatamani life litimu lenu kwa kuitia Aibu London iliyong'rishwa na Arsenal.