Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hii Timu haiuziki aminini nawaambia.
Abramovic aitowe kama Sadaka tu kwa Baraza la Jiji la Fulham ili iwe Timu ya Jiji then ipate kusajili na kuuza then Fulham City Council iiuze kwa utaratibu bila ya pressure kutoka Serikalini.
 
Hii Timu haiuziki aminini nawaambia.
Abramovic aitowe kama Sadaka tu kwa Baraza la Jiji la Fulham ili iwe Timu ya Jiji then ipate kusajili na kuuza then Fulham City Council iiuze kwa utaratibu bila ya pressure kutoka Serikalini.
Haiuziki kwa maana ipi?
 
Premium League imeshamkubali mmiliki mpya wa Chelsea Toddy Boehly Consortium ila matatizo mawili yamebaki
  1. Serikali kumptisha mmiliki mpya na
  2. Deni la Abramovich
Tatizo la Serikali ni dogo kutatuliwa, tatizo kubwa ni deni na inavyoelekea hili deni litachelewesha ununuzi kwa sababu serikali haitakubali Abramovich alipwe pesa wakati kawekewa vikwazo. Serikali ikigundua kuwa bosi kalipwa hawatampitisha mmiliki mpya na uuzwaji wa timu utazuiwa. Saga litakalofuata litakuwa gumu kwa Chelsea kuliko lililopita kwa sababu leseni maalumu ya michezo iliyotolewa ili timu ifanye shughuli zake haitatolewa tena muda wake ukiisha Mei 31 2022 na hivyo kuiona Chelsea yetu pendwa ikijifia kifo cha Mende.
Ikitokea hivyo ndipo nitakapojua kuwa Wazungu ni wapumbavu kuliko viumbe wote duniani ikiwa ni pamoja na punda, nyumbu wa serengeti

Kwa maoni yangu Chelsea ingeuzwa na pesa zote zikawekwa kwenye akaunti maalumu ya mpito hadi hapo hizi saga zote za kisheria zitakapopatiwa ufumbuzi wa kudumu. Kwa mfumo huu Chelsea itakuwa imeepushwa kufa kifo cha mende

Reports
There are now two obstacles in their way of completing the takeover, one being the all clear from the government and the second being the all clear from Abramovich. The latter could be more of a problem than the former.

This is because, according to a number of reports, there are fears the current owner is looking to have his £1.6billion loan to the club repaid in restructured payments. This could hold up any potential takeover going forward, while the club’s status in the Premier League and Europe is under threat by that notion.
Amini nakuambia Chelsea haitafutwa katika ramani ya ulimwengu wa soka. Wazungu sio wajinga kiasi hiko. Chelsea ni alama ya London haitakua rahisi kuifuta Club kubwa kiasi hicho iliyotoa mamilioni ya ajira ulimwenguni.
 
Hii Timu haiuziki aminini nawaambia.
Abramovic aitowe kama Sadaka tu kwa Baraza la Jiji la Fulham ili iwe Timu ya Jiji then ipate kusajili na kuuza then Fulham City Council iiuze kwa utaratibu bila ya pressure kutoka Serikalini.
Mkuu umeandika kama unaiongelea Green Warriors ya huku MPITIMBI. Wale wazungu wa London sio kama kina Almasi Kasongo wale wa TPLB
 
Klabu ya Chelsea inatumaini Serikali ya Uingereza itaingilia kati uuzwaji wa timu hiyo kwa kushikilia deni la Abramovich ili zoezi la kuuza timu lisikwame
Haya maoni niliyatoa juzi kuwa kwanini kusiwepo akaunti maalumu hizo pesa zikawekwa huko na kushikiliwa hadi sitofahamu ipatiwe ufumbuzi

Nadhani Serikali ya Uingereza ikikubali maoni haya iliyotolewa na klabu ya Chelsea itasaidia uuzwaji usikwame kwa sababu kila kitu tayari, hilo deni tu ndio kikwazo

Madai ya Abramovich ya mnunuzi kuongeza paundi mil 500 limekubaliwa, nasikia Consortium ya Todd Boehly imekubali kuongeza hizo pesa na kwa hiyo kilichobaki sasa ni deni la Abramovich kupatiwa ufumbuzi ili by May 31 kila kitu kiwe kimekamilika na maisha yaendelee kama kawaida
Tusajili wachezaji wa kuziba viraka vya akina Rudiger na Azpilicueta na Christansen na wachezaji wengineo muhimu
 
Hivi humu huwa mnajadili nini siku hizi?au ndio historia?

NB: PICHA HAINA UHUSIANO WOWOTE NA MAELEZO HAPO JUU
IMG-20220421-WA0149.jpg


Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Official statement by Roman Abramovich on the sale of Chelsea Football Club. #CFC

“Mr Abramovich has not asked for any loan to be repaid to him – such suggestions are entirely false”.

Full statement
20220505_203759.jpg
 
🚨 Chelsea could be excluded from the Premier League next season if they do not find a buyer before June 8.

(Source: Daily Mail)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom