Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ununuzi wa Chelsea utachelewa tena kwa sababu wanunuzi wamelazimishwa kueleza wataendelezaje uwanja ulingana na viwanja vya timu kubwa ulaya
Taarifa za ndani ya mchakato zinasema kuwa wanunuzi wanaweza kupunguza dau hadi paundi bil 2.5 kama ukarabati italazimishwa kama sehemu ya hiyo bid. Ghrama za kukarabati ni kubwa ukichukulia wahusika wa kisheria kwenye mkataba wa umiliki wa uwanja au ujengwe sehemu nyingine ambayo nayo ina tricks nyingi zikiwepo za kisheria za ama kununua jina au kubadili jina
Wanunuzi chinichini wanasema kama watalazimishwa kwa kiwango hicho basi watalazimika kupunguza dau hadi bil2.5

Kwa sababu hii zoezi linaweza kucheleweshwa tena
 
Ole wenu Msimu ujao ufikie kuanza bado Mchakato wa Manunuzi uwe haujakamilika.
Mutawaita Wachezaji wa Academy waje wacheze Kikosi cha kwanza.
 
Ununuzi wa Chelsea utachelewa tena kwa sababu wanunuzi wamelazimishwa kueleza wataendelezaje uwanja ulingana na viwanja vya timu kubwa ulaya
Taarifa za ndani ya mchakato zinasema kuwa wanunuzi wanaweza kupunguza dau hadi paundi bil 2.5 kama ukarabati italazimishwa kama sehemu ya hiyo bid. Ghrama za kukarabati ni kubwa ukichukulia wahusika wa kisheria kwenye mkataba wa umiliki wa uwanja au ujengwe sehemu nyingine ambayo nayo ina tricks nyingi zikiwepo za kisheria za ama kununua jina au kubadili jina
Wanunuzi chinichini wanasema kama watalazimishwa kwa kiwango hicho basi watalazimika kupunguza dau hadi bil2.5

Kwa sababu hii zoezi linaweza kucheleweshwa tena

Sasa jifanyeni kuweka Masharti mpaka mukose mnunuzi manake kila siku watashusha dhabuni mpaka watafika £1B kwa Masharti yenu yasiyoeleweka.
 
Ununuzi wa Chelsea utachelewa tena kwa sababu wanunuzi wamelazimishwa kueleza wataendelezaje uwanja ulingana na viwanja vya timu kubwa ulaya
Taarifa za ndani ya mchakato zinasema kuwa wanunuzi wanaweza kupunguza dau hadi paundi bil 2.5 kama ukarabati italazimishwa kama sehemu ya hiyo bid. Ghrama za kukarabati ni kubwa ukichukulia wahusika wa kisheria kwenye mkataba wa umiliki wa uwanja au ujengwe sehemu nyingine ambayo nayo ina tricks nyingi zikiwepo za kisheria za ama kununua jina au kubadili jina
Wanunuzi chinichini wanasema kama watalazimishwa kwa kiwango hicho basi watalazimika kupunguza dau hadi bil2.5

Kwa sababu hii zoezi linaweza kucheleweshwa tena
Raine Group sources have denied there is an extra ‘stage’ to the #Chelsea sale. They also deny any 'significant delays' and still expect to name a preferred bidder by the end of the month.

[via @JacobsBen]
 
Ole wenu Msimu ujao ufikie kuanza bado Mchakato wa Manunuzi uwe haujakamilika.
Mutawaita Wachezaji wa Academy waje wacheze Kikosi cha kwanza.
Mwaka juzi wakati tuna ban ya kutokusajili. Tuli employ academy na walifanya vizuri sana tena chini ya Lampard na tuliingia top four na tulicheza fainali ya FA. Mkuu hatujisifii ila kuna uwezekano Kingsmeadow na Cobham ni kati ya grounds chache duniani zinazozalisha wachezaji wazuri duniani.

Hatuhofii kutumia academy players
 
Hii table inanikumbusha ile top 4 maarufu kabla ya 2010, hapo Manure tu ndie hayupo
1650897612378.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom