Jorgino duh asiwe kama bruno
Huwezi ukaoorodhesha ma-idiot 3 likakosekana jina Jorginho
Ndio maana iko nafasi ya tatu na itamaliza hapo.Chelsea ina deadwoods za kutosha
Tumekutana nao Mara ngapi na hawakutuweza?liverpool yenye diaz,mane,jota,salah mtaiweza pale wembley??
Chelsea tunasumbuliwa na winning mentality. Siku Chelsea wakicheza na Liverpool with low winning mentality tutafungwa mengi sana. Mara zote tulipocheza na Liverpool morale na mentality ilikuwa juuTumekutana nao Mara ngapi na hawakutuweza?
Acha wivu wewe itakuua. Hiyo nafasi ya tatu hadi mmeenda kwa mganga hamuipati ng'oMashuti 26.
On target 5.
Yaani machizi yaliingia kubutua mpira ili mradi yanatazamana na goli.
Angalia unacheza na naniSasa hv tumekuwa wa kupata ushindi kwa mateso sana
HaiwezekaniJognho atupishe kwenye kupiga penati.
Uchizi on airAcha wivu wewe itakuua. Hiyo nafasi ya tatu hadi mmeenda kwa mganga hamuipati ng'o