Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Si kama nyie tu mlikuja kumnunua Czech akawa pazia, mkaja tena kw Luiz akaflop, mkarudi tena tukawapga kwa Willian ...... mkija tena tunawapa Sarr wajinga wetu hahahahaha.
Ukijumlisha pesa aliyonunuliwa czech, luiz na willian inafikia pesa mliyomlipia lukaku?

Na unajua kama hamjatupiga kwakua hatujalipia pesa
 
Chelsea tunasumbuliwa na winning mentality. Siku Chelsea wakicheza na Liverpool with low winning mentality tutafungwa mengi sana. Mara zote tulipocheza na Liverpool morale na mentality ilikuwa juu
Ila Chelsea akikutana na Liverpool hua unapigwa mpira mmoja wa kiume sana toka pande zote mbili.
Mechi yangu bora kabisa ya msimu huu ni ile fainali ya Carabao, siku ile niliona mpira wenye ladha mpaka unatamani mechi isiishe.
 
Ila Chelsea akikutana na Liverpool hua unapigwa mpira mmoja wa kiume sana toka pande zote mbili.
Mechi yangu bora kabisa ya msimu huu ni ile fainali ya FA, siku ile niliona mpira wenye ladha mpaka unatamani mechi isiishe.
Final ya FA Bado haijachezwa labda unasema carabao
 
Lakaka
20220424_192741.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom