Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hivi Chelsea mnacheza ili mfanyaje Kwa mfano ,mfungwe msifungwe nyie mtabaku hapo hapo namba 3[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Azpilicueta na chalobah bado wana makosa makosa ya kijinga jinga. Wanakaa sana na mpira hadi wanasababisha counter
 
LEWIS HALL
Ningependa Lewis acheze kiungo kwa sababu ni mzuri sana kwenye kuanzisha goal build up kama viungo wa Liverpool
Pass zake zinaweza kufikia za Fabregas anapozidi kucheza. Kuprove hii, debut yake alimpa Lukaku assist tulipocheza na Chesterfield na p[ia kwenye hiyo mechi alipewa MOTM
View attachment 2197567
By nature Jamaa ni midfielder lakini alipangwa nafasi ya wingback ni kwasababu hiyo nafasi kuna vilaza wengi na ndio nafasi ambayo ipo wazi na ndio ina mapungufu na Jamaa kaitendea haki,hiyo nafasi unayotaka acheze ina watu kwahiyo hawezi kupata hiyo nafasi kabisa
Tumalize tuu msimu, timu imekuwa mbovu sana.
Timu inacheza kichovu Sana kama vile inaongoza goal 5 kwa bila
 
Ile Chelsea aliyoanza nayo Tuchel nilikuwa naihofia sana. Sasa hivi hata sijui mko wapi maana ni mbali sana na uhalisia.
 
Kuna kila dalili kipindi cha pili kenge anaenda kuzibuliwa masikio na Westham.
Wavaa blauz siku hizi wamekua tepetepe utadhani wamemwagiwa mlenda.
 
Kante leo anaonyesha dalili ila Alonso atumiagi akili sijui. Chance nzuri halafu yeye anajipigia tu. Sijui kinachoendelea hapo darajani ni kitu gani.
 
Hii mechi tukidroo au kufungwa posibility ya kunyang'anywa no. 3 ni dhahiri na no.4 tutabanana sana
 
Kuna maelekezo vijana wamepewa na naona wanayatekeleza. Wamebadilika
 
Lukaku for Havertz
Pulosic for Werner
Ziyech for Cheek
 
Acheni woga, mko safe side. Hiyo nafasi ya 3 naamini ni yenu tu.
Kwa kiwango tunachocheza plus majeruhi sioni tukoboresha kitu. Kupata points kwa kiwango hichi ni kubahatisha sana
Mwisho wa ligi kuna timu zinamalengo sisi hatuna
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom