MrConveter
JF-Expert Member
- Jul 4, 2017
- 1,291
- 2,368
Naona kinga ya tatu imeshavaliwa huko, packet imeisha.
Packet ya pili itafunguliwa? Stay tune kupata majibu.
Packet ya pili itafunguliwa? Stay tune kupata majibu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sarr kama Magwaya
Tuchel kazingua sana leo na hiki kikosiKIKOSI CHA MAUAJI LEO
343
WERNER --LUKAKU--MOUNT
ALONSO--CHEEK--KANTE--JAMES
SARR---CHRISTANSEN--AZPILICUETA
MENDY
Mmeukimbia uzi wenu punda nyie
Tupo mzee. Sema huwa mnabahati na Chelsea. Nawapa salute
Katunza kikosi kwaajili ya UCL, maana nyie sindio mabingwa wa Dunia?Tuchel kazingua sana leo na hiki kikosi
Ndio maana naipenda Arsenal anajua kuwanyamazisha wapiga domo
Penalt tena hukoTupo mzee. Sema huwa mnabahati na Chelsea. Nawapa salute
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Cheki hii mitakataka kuwa amini kwote kule mnipigie hawa watoto mmelishwa maharage yana watesa matumbo.View attachment 2194696
Mjinga sana yani mechi serious analeta upuuzi wa namna hii nimechukia sanaKatunza kikosi kwaajili ya UCL, maana nyie sindio mabingwa wa Dunia?