We ina gundu jamaa.Nyie kongolo fc niko upande wenu leo nawaombea mshinde msiniangushe sasa.
The blues[emoji170][emoji170]
Hasa Christansen hana concetration kabisaChelsea wapigwe tu maaana ni walevi wamewela ulanzi kocha wao nae mviziaji tu malang na Christmas lukaku hovyo kabisa
Huwa kama tunaugonjwa tukikutana na tim ambazo ziko hoi, tunazifanya zionekane bora vileChelsea wapigwe tu maaana ni walevi wamewela ulanzi kocha wao nae mviziaji tu malang na Christmas lukaku hovyo kabisa
Nahis ana bet mshamba sana TT kam namuona mviziaji hivKwa huu ukuta wa mabua TT alioupanga leo lazima Arse88 watuadhibu. Sijui huwa anabet huyu kocha.