Kuna kipindi ulibeti kufir*wa pamoja na mkeo kwa pamoja. Wewe ni mwanaume kamili kweli!?Malizana na Madrid kwanza kongolo fc
Ikipita napo ni vyema, maana wengi tunataka ipite ingawa kamba hukatikia pembamba.Mkuu mi hata sielewi ni kwanini ilakwa hii Chelsea yangu bado sijaikatia tamaa.
Imani kubwa ipo Thomas kuliko kwa wachezaji. Naamini lipo jambo anaweza kufanya
Sound good, but kamba yetu nyembamba sana inapokatikia1st goal - Timo Werner
2nd goal - Mount
Full time 90mins - Aggregates 3 - 3
Extra time:- Kai Harvetz goal.
Full time - Madrid 3 - 4 Chelsea.
Kelele zote hiz kumbe hata hujiamini mkuuWakuu tutashinda hii game kweli?? Hapa puresha inapanda inashuka...![]()
Acha wenge chalii hii gemu mnashinda njaa hahahaWakuu tutashinda hii game kweli?? Hapa puresha inapanda inashuka...![]()
We utakuwa shabiki anayelipwa, sponsor wako ni nani maana unajuhudi ya kushabikia hata kama kwako kunaangamia
Wameenda kwa Baiskel




Man U msimu huu nimekosa kila kitu furaha yangu iliyobaki nikuona Chelsea ana aga haya mashindano.We utakuwa shabiki anayelipwa, sponsor wako ni nanio maana unajuhudi ya kushabikia hata kama kwako kunaangamia



Unashabikia timu gani?Usikute Jitu limeamka kwa Shemeji yake linajikuna Kende linawaza kuwatoa Mdrid! Hii Timu ina mijitu mijinga kweli